Nimeibiwa pesa kwenye akaunti yangu ya NBC

Nimeibiwa pesa kwenye akaunti yangu ya NBC

Pigana mpaka upewe pesa yako. Wakisha kurudishia, funga hiyo account. Kamwe usifungue account NBC.

Watanznia wote, fungeni account zenu NBC.

Mkuu mimi nimeshajitoa kwenye hii Bank..wapigaji sana hawa makaburu..yaani nlikuwa nikiulizia bank statement wanazingua siku naipata nikashangaa kinoma..salio langu limebaki kidogo..nikakomaa nao kwa muda wa miezi miwili ndo wakairudisha..since then nikatoa mpunga wangu wote...
 
Pole sana mkuu medisonmuta, ninasikitika kuona benki za kibongo zinakuwa na wizi amabo ulifanyika wakati wa "medieval time". katika karne hii ya 21. Naomba ukawape pia ultimatum kuwa huku wao wakiendelea na uchunguzi juu ya tukio hilo kwa zao 45 na wewe leo leo unaenda polisi ku andikisha maelezo ya kuibiwa pesa katika benki husika . wao wafanye uchunguzi wao na polisi wafanye yao , kisha muje mkutane katika kati kila mtu na ushaidi wake.
Nitalifanyia kazi
 
Last edited by a moderator:
Nitalifanyia kazi

Ok, coz na wao wakiona uko na altenative B watakuwa na hofu na hivyo kutaka kulitendea haki swala lako. Hakika utakuja kuleta mrejesho hapa jukwaani kwani nimeumia sana kwa namna walivyo kurudisha nyuma hatua kadhaaa ukizingatia maisha yenyewe yaalivyo pinda .
 
Tutakua tunaficha kwenye mashimo kama wazee wa zamani
Infact hata leo hii mtu ukiwa na pesa nyingi kuziweka benki zote ni Risk ssana.Tunaaminishwa tu kuwa ukiweka benki pesa zipo salama ila nakwambia lolote linaweza tokea kwenye ma benki na usipate pesa yako. Angalia siku mitandao ikigoma tunavyopata shida wakati pesa ni zetu. Hatujui tu ila kuna Aina ya utumwa fulani katika hizo huduma. Angali huyu ndugu anaambiwa asubirie siku 45 kutoa weekend days. Hivi mtu ukipatwa shida na unahitaji pesa yako kweli usubirie muda wote huo au ndo kuanza kukopa kopa ili hali pesa yako ipo si utumwa huu. Mbona tukiwa tunazipeleka hawaturudishi. Ni muhimu kuwa na safe place and strong room ambayo utaijua wewe na mtu wa karibu kama mkeo/mmeo na mtoto wako. Kuweka pesa zote huko ni Risk. Kwanza ni kishawishi hata kwa wezi sababu watajua mapato yako na hata mwenendo mzima wa Account yako.
 
Nadhani hilo tatizo haliko nbc pekee, nimewahi kuibiwa crdb pia, laki 2 na nusu. Nilipoenda kuomba statement ikaonekana zimetolewa siku 2 kabla ya hiyo siku niliyogundua. Wakanielekeza kwa watu wa cctv pale tawi la zikiwe premium wakasema inaonekana pesa zilitolewa tawi la mabibo hostel, hivyo niende mabibo ili waangalie ni nani alihusika lakini nikaambiwa natakiwa kulipia elfu 30. Nikawaambia mimi nimeibiwa iweje wanalipishe tena? Wakadai ndo procesure zao. Kwenda mabibo nikazungushwa weee nenda rudi kibao. mwisho nikagive up nikatoa pesa zote
 
Infact hata leo hii mtu ukiwa na pesa nyingi kuziweka benki zote ni Risk ssana.Tunaaminishwa tu kuwa ukiweka benki pesa zipo salama ila nakwambia lolote linaweza tokea kwenye ma benki na usipate pesa yako. Angalia siku mitandao ikigoma tunavyopata shida wakati pesa ni zetu. Hatujui tu ila kuna Aina ya utumwa fulani katika hizo huduma. Angali huyu ndugu anaambiwa asubirie siku 45 kutoa weekend days. Hivi mtu ukipatwa shida na unahitaji pesa yako kweli usubirie muda wote huo au ndo kuanza kukopa kopa ili hali pesa yako ipo si utumwa huu. Mbona tukiwa tunazipeleka hawaturudishi. Ni muhimu kuwa na safe place and strong room ambayo utaijua wewe na mtu wa karibu kama mkeo/mmeo na mtoto wako. Kuweka pesa zote huko ni Risk. Kwanza ni kishawishi hata kwa wezi sababu watajua mapato yako na hata mwenendo mzima wa Account yako.
Ndiyo Tanzania yetu mkuu!
 
Nadhani hilo tatizo haliko nbc pekee, nimewahi kuibiwa crdb pia, laki 2 na nusu. Nilipoenda kuomba statement ikaonekana zimetolewa siku 2 kabla ya hiyo siku niliyogundua. Wakanielekeza kwa watu wa cctv pale tawi la zikiwe premium wakasema inaonekana pesa zilitolewa tawi la mabibo hostel, hivyo niende mabibo ili waangalie ni nani alihusika lakini nikaambiwa natakiwa kulipia elfu 30. Nikawaambia mimi nimeibiwa iweje wanalipishe tena? Wakadai ndo procesure zao. Kwenda mabibo nikazungushwa weee nenda rudi kibao. mwisho nikagive up nikatoa pesa zote
CRDB nao kumbe kuna mfumo huo!
 
mimi ndio maana pesa zangu nimetengeneza SAFE yangu chumbani nazihifadhi huko.
 
NBC miyeyusho ndiyo nataka nifanye mpango nihamishe pesa zangu CRDB

Mkuu huwa unatumia VISA service ,au kuswap kwenye outlet mbalimbali kwa kutumia hiyo card yako ktk kufanya malipo?

Kama jibu ni ndiyo, Mara ya mwisho wewe kufanya malipo kwa kadi yako ni lini?
 
Mkuu huwa unatumia VISA service ,au kuswap kwenye outlet mbalimbali kwa kutumia hiyo card yako ktk kufanya malipo?

Kama jibu ni ndiyo, Mara ya mwisho wewe kufanya malipo kwa kadi yako ni lini?
Sijawahi kutumia huduma hiyo
 
Jmosi 08/11/14 niliangalia salio la akaunti ya NBC kwenye simu yangu na kukuta kimetolewa kiasi kinachofikia Tshs.2,100,000/=. Ilibidi nipige simu kwenye namba yao iliyopo kwenye kadi ya ATM niwaeleze tatizo la akaunti na kuiblock akaunti,wakaniambia niende moja kwa moja nilipofungua akaunti.
Siku ya leo nimeenda nikaomba bank statement,nikaona bank statement inaonyesha nilitoa pesa tarehe 07/11/14 hadi 08/11/14. Change kunishangaza mnamo wa hizo tarehe nilikuwa nimejipumzisha nyumbani peke yangu na mara ya mwisho kutoa pesa ilikuwa tarehe 04/11/14. Nikaipinga bank statement,wakaniuliza maswali yao na kuandika barua ya malalamiko.Wameniambia nikae siku 45 niondoe siku za wikiendi na sikukuu kwa ajili ya uchunguzi.
Nina wasiwasi na wafanyakazi wa benki wenyewe,hamna mtu yeyote anajua kama nina akaunti NBC zaidi ya wenyewe.Kuna mtu yeyote kishamtokea kitu kama hiki?

miye nilishawahi kutana kadhia hiyo,pole mkuu utusumbuka sana mpaka kupata pesa yako
 
Nadhani hilo tatizo haliko nbc pekee, nimewahi kuibiwa crdb pia, laki 2 na nusu. Nilipoenda kuomba statement ikaonekana zimetolewa siku 2 kabla ya hiyo siku niliyogundua. Wakanielekeza kwa watu wa cctv pale tawi la zikiwe premium wakasema inaonekana pesa zilitolewa tawi la mabibo hostel, hivyo niende mabibo ili waangalie ni nani alihusika lakini nikaambiwa natakiwa kulipia elfu 30. Nikawaambia mimi nimeibiwa iweje wanalipishe tena? Wakadai ndo procesure zao. Kwenda mabibo nikazungushwa weee nenda rudi kibao. mwisho nikagive up nikatoa pesa zote

Pole sana! Umeibiwa halafu unaambiwa uzifuatilie mwenyewe na kisha ulipe! Du hii kali ya karne. Ilitakiwa pale kwenye tawi uliporipoti ndio wafuatilie kila kitu.
 
Hizi benki vimeo. Mimi nilifunga mapema sana akaunti yangu huko. Ila nmb nako matatizo. Wafanyakazi wanaiba hela kwenye akaunti za watu pia. Tamaa ya kununua magari, na kuwahonga mademu wao ndio inapelekea haya yote. Short cut. Nashukuru nmb wapo humu jf, good. Mabenki mengine na maofisi mengine nao waingie humu wawe wanajibu hoja. Nmb hongera
 
HAPO HATA wiki ilikuwa haijaisha, kwani ATM si wanakuwa na security cameras? watatoa sababu gani?
 
wahi polisi mkuu ndipo pesa itapatikana ukiwaacha wenyewe wafuatilie pesa yako utapata kikwete akiwa amemaliza muda wake
 
Back
Top Bottom