Nimeibiwa pesa kwenye akaunti yangu ya NBC

Nimeibiwa pesa kwenye akaunti yangu ya NBC

maukiddo,
Nimefanya kazi benk 2 na uwizi upo sema wewe hujui zinaibwaje.Na mishahara ya staff wa benki ni kawaida sana.wengi mnaringia hadhi za hizo benki!na mikopo ya riba nafuu,17% badala ya 21%.

ivi kuwa na gari na watoto wakali ni indicator ya maisha mazuri?mpaka mtu awe na stress?Sasa sisi tulio kweny level ya kutoa ajira kwa hao watoto wakali unatuweka kundi gani?

hakuna mijizi kn mifanyakazi ya benki tena wale waliosemea kabisa accountancy wanajua kucheza na dats vizuri nlikua na mdogo alikua benk fulani jamank alikua anaiba hela vibaya mno kila siku anarudi na laki nne mpaka milioni home
yaani huo ndo ukweli ni wezi sana watu wa benki wasikatae
 
hakuna mijizi kn mifanyakazi ya benki tena wale waliosemea kabisa accountancy wanajua kucheza na dats vizuri nlikua na mdogo alikua benk fulani jamank alikua anaiba hela vibaya mno kila siku anarudi na laki nne mpaka milioni home
yaani huo ndo ukweli ni wezi sana watu wa benki wasikatae
Wahasibu wa benki wanakula kwa mikono miwili...
 
The bank is now under liquidity komaa sana yaweza potea wanafilisika sasa hivi ndo maana staff wao njaa
 
Si mmoja wao ila nakereka kwa mtu kutoa shutuma kwa watu wasiohusika kisa kaona wana vitu flani...
Sasa kwa taarifa tuu ya juu juu kuhusu iyo nbc kuna mzungu wao mmoja alitoka South Africa alikuja kuinstall sijui nn katika atm zao tz nzima sasa aliziseti akawa anaiba senti 2 kwa kila muamala unaofanyika kwa kila atm aliyoipitia mpk kaja kugundulika fedha kibao na yeye yupo south...
Hakuna server zinazoingilika kwa urahisi km nbc kutokea south iyo ni dondoo tuu sasa wasiojua wanawapa shutuma wafanyikazi tabu tupuu...
 
maukiddo,
Nimefanya kazi benk 2 na uwizi upo sema wewe hujui zinaibwaje.Na mishahara ya staff wa benki ni kawaida sana.wengi mnaringia hadhi za hizo benki!na mikopo ya riba nafuu,17% badala ya 21%.

ivi kuwa na gari na watoto wakali ni indicator ya maisha mazuri?mpaka mtu awe na stress?Sasa sisi tulio kweny level ya kutoa ajira kwa hao watoto wakali unatuweka kundi gani?

Hapo ndio unapokosea...mfanyakazi gani wa hii tz anafanya kazi hana mkopo pale anapofanyia kazi??? Siku zote fedha haitoshi na sijui wewe unapofanya kazi unapata salary ya kiasi gani mpk haujapokea mkopo...kwa yeyote anaejua maisha haya ya bongo mkopo ni advantage kwake na usidanganye watu humu kujifanya upo sector flani matawi hauna lolote mie sina kazi ila naelewa hizo mambo na huo wizi uliokua unaufanya ndio maana haupo benki basi...
 
Back
Top Bottom