Nimeibiwa mke wangu nateseka mie

Nimeibiwa mke wangu nateseka mie

10559733_507241946077161_1236689063887990970_n.jpg

Well said
 
Mkuu humpigi paipu vyakutosha huyu mama wewe ok chukua mashine nyingine weka ndani.
 
ulikula hadi hii kitu? 0713 kama hujatumia hii basi kamtafuta mtu atumie hio pia so usijali atarudi marinda hatokua nayo lakini.!!!
 
huyo sio mtoto ni mtu mzma... hivyo maamuz aliyoyafanya ni ya kudhamilia..... hivyo hajaibiwa... kajiiba mwenyewe....
hii dunia fanya mema nenda zako.... ulimpenda ila hakukupenda... sio lazima kulazimisha .... let it go....
 
Nimetoka safari juzi kufika tu nyumbani nkaambiwa na majirani mimi tu nilivyosafiri wiki jana nayeye aliondoka nyumbani lakini nikiwa safarini tulikuwa tukiwasiliana vizuri.

Jamani nifanyaje mwenzenu mana sasahivi hata simu haipatikani uzuri ufunguo aliacha kwa majirani na hajaiba kitu chochote.

Ila mimi nakonda nani kaniibia mke wangu jamani.

Kuchapiwa siri ya ndani mkuu!
 
Back
Top Bottom