nimetoka safari juzi kufika tu nyumbani nkaambiwa na majirani mimi tu nilivyosafiri wiki jana nayeye aliondoka nyumbani lakini nikiwa safarini tulikuwa tukiwasiliana vizuri,jamani nifanyaje mwenzenu mana saivi hata simu haipatikani uzuri ufunguo aliacha kwa majirani na hajaiba kitu chochote.ila mimi nakonda nani kaniibia mke wangu jamani
kwani nkoje
Kama waume wenyewe ndio dizaini yako?
Pole kwa wanawake
Kumbe The Boss siyo mwanaume?? Embu nielezee, halafu umenifanya nini ati? Nimekusubiri wee but where!! Au umeanza unafiki na wewe!!!
Hahaha kwanza apo namaanisha kwamba huyu mleta mada unyemfananisha na The Boss
Afu tena muda ndo unakaribi ivo nakuja kwa nguvu zote umeniandalia nini? Unafiki siuwezi katu