Nimeibiwa mke wangu nateseka mie

Nimeibiwa mke wangu nateseka mie

Nimetoka safari juzi kufika tu nyumbani nkaambiwa na majirani mimi tu nilivyosafiri wiki jana nayeye aliondoka nyumbani lakini nikiwa safarini tulikuwa tukiwasiliana vizuri.

Jamani nifanyaje mwenzenu mana sasahivi hata simu haipatikani uzuri ufunguo aliacha kwa majirani na hajaiba kitu chochote.

Ila mimi nakonda nani kaniibia mke wangu jamani.


  1. badili vitasa vya milango, madirisha, geti etc
  2. msamehe

chagua kimoja kilicho rahisi kwako kama ilivyo stori yako
 
Nimetoka safari juzi kufika tu nyumbani nkaambiwa na majirani mimi tu nilivyosafiri wiki jana nayeye aliondoka nyumbani lakini nikiwa safarini tulikuwa tukiwasiliana vizuri.

Jamani nifanyaje mwenzenu mana sasahivi hata simu haipatikani uzuri ufunguo aliacha kwa majirani na hajaiba kitu chochote.

Ila mimi nakonda nani kaniibia mke wangu jamani.

Na wewe tafuta wa mwenzio umuibie. kama unaogopa kapige puli kila siku.
 
Back
Top Bottom