Nimeibiwa mke wangu nateseka mie

Nimeibiwa mke wangu nateseka mie

ameibwa au kafuata dume mwenyewe kwan mlango umevunjwa?
 
Oa mke mwingine shida iko wapi!ukiona vipi kula ganzi.
 
nimetoka safari juzi kufika tu nyumbani nkaambiwa na majirani mimi tu nilivyosafiri wiki jana nayeye aliondoka nyumbani lakini nikiwa safarini tulikuwa tukiwasiliana vizuri,jamani nifanyaje mwenzenu mana saivi hata simu haipatikani uzuri ufunguo aliacha kwa majirani na hajaiba kitu chochote.ila mimi nakonda nani kaniibia mke wangu jamani


Mimi ni kijana mwenye miaka 29 sijawahi kufanya mapenzi hata siku moja ila kuna mpenzi nimepata ndo nataka ni do naye nianzaje vile.
 
10559733_507241946077161_1236689063887990970_n.jpg
 
nimetoka safari juzi kufika tu nyumbani nkaambiwa na majirani mimi tu nilivyosafiri wiki jana nayeye aliondoka nyumbani lakini nikiwa safarini tulikuwa tukiwasiliana vizuri,jamani nifanyaje mwenzenu mana saivi hata simu haipatikani uzuri ufunguo aliacha kwa majirani na hajaiba kitu chochote.ila mimi nakonda nani kaniibia mke wangu jamani

njoo getoni kajaa tele
 
nimetoka safari juzi kufika tu nyumbani nkaambiwa na majirani mimi tu nilivyosafiri wiki jana nayeye aliondoka nyumbani lakini nikiwa safarini tulikuwa tukiwasiliana vizuri,jamani nifanyaje mwenzenu mana saivi hata simu haipatikani uzuri ufunguo aliacha kwa majirani na hajaiba kitu chochote.ila mimi nakonda nani kaniibia mke wangu jamani

Kumbe mkeo hajakwambia basi mimi nakwambia jitume mkuu goli ndogo wacha kulalamika kwenye mitanDao
 
namkunaga vizuri mpaka anaomba po

Ndio hata kama unamkuna vizuri, lakini tabia ya kula wali kila siku hata kama ni mtamu hitatokea siku utataka kujua ladha ya kuku na yenyewe ikoje?
 
nimetoka safari juzi kufika tu nyumbani nkaambiwa na majirani mimi tu nilivyosafiri wiki jana nayeye aliondoka nyumbani lakini nikiwa safarini tulikuwa tukiwasiliana vizuri,jamani nifanyaje mwenzenu mana saivi hata simu haipatikani uzuri ufunguo aliacha kwa majirani na hajaiba kitu chochote.ila mimi nakonda nani kaniibia mke wangu jamani

Mawazo yako tu yanaweza kuwa mabaya, kuna uwezekano mkeo akawa ameenda kuwatembelea wazazi wake mara moja lakini kosa alilofanya ameondoka bila kuaga.
 
Back
Top Bottom