Nimeibiwa baiskeli, kukata RB polisi bei gani?

Nimeibiwa baiskeli, kukata RB polisi bei gani?

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,379
Reaction score
3,152
Kuna jamaa anadai ameiokota sa 7 usiku wakati nimeibiwa nyumbani kwangu, anadai nimpe 25000 ili anirudishie leo siku ya 2.
 
Kariport umeibiwa. Na waambie scenario. The rest wataangalia kama wanafaidika.
 
Hivi katika methali hizi kati ya wew na yeye nani yupo sahihi.

Aliyeshikwa na ngozi ndiye aliyekula nyama.

Chakuokota si Cha kuiba mwenye mali ni mjinga.
 
Acha usenge, tunatengeneza taifa gani!?,. Ukiibiwa mtaani pambana mtaani hata mwezi mmoja au zaidi, kwahiyo unatafuta mwizi online!??.., watoto wa elfu 2 asilimia 95 hamna akili..
nipambane nisitoe taarifa polisi?
 
Hivi katika methali hizi kati ya wew na yeye nani yupo sahihi.

Aliyeshikwa na ngozi ndiye aliyekula nyama.

Chakuokota si Cha kuiba mwenye mali ni mjinga.

Hiyo ya chakuokota ni misemo ya watu wajinga.
Polisi hakuna kitu chenye thamani unachoweza kukiokota kisiwe cha wizi kama hujaripoti.
Ukikamatwa huwezi sema uliokota utaitwa mwizi na sheria huchukua mkondo wake
 
Kaiokota wapi huyo chizi.

Umenikumbusha mbali kinoma, kuna chizi mmoja aliokota pikipiki tulimcharaza shiboko hadi akasema alipoitoa.

Hapo kakate RB Polisi afu kamkamate hata na migambo kama unamwogopa.
 
Kaiokota wapi huyo chizi.

Umenikumbusha mbali kinoma, kuna chizi mmoja aliokota pikipiki tulimcharaza shiboko hadi akasema alipoitoa.

Hapo kakate RB Polisi afu kamkamate hata na migambo kama unamwogopa.
😂
 
Back
Top Bottom