Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,352
- 5,871
- Thread starter
- #21
Born 84!Una umri gani?
Born 84!Una umri gani?
Aisee! Ndo maanaBorn 84!
Moyo wangu unamtosha!Mpe na akili zako
Huo ndio uanaume mkuu
Kwahiyo unabaki na kitorch
Vumilia tu maneno ya wanaume wenzako huku jf yasije yakakufanya kurudi kuichukua simu yako
Mawazo finyu haya loo,Mpaka hapo una viashiria vyote vya kumezeshwa limbwata
Ile nyama iliyovundikwa kwenye papuchi uliyokula imeanza kufanya kazi..
Natania.
Hongera San kwa kumpenda na kumjali bebee ako.
Ndugu katibu naomba upeleke ulinzi haraka kumuokoa mjinga huyoKaka madenge kuna mjumbe tumeshampoteza
Walinzi wamesema wanasikilizia ela ya mafuta kwa wajumbe😆Ndugu katibu naomba upeleke ulinzi haraka kumuokoa mjinga huyo
Naomba uwambie waende kwa miguu chama hakiwezi kufuja matumizi makubwa hivyoWalinzi wamesema wanasikilizia ela ya mafuta kwa wajumbe😆
Hahhaha
Ataitumia kuwasiliana na baby mwingine😂😂😂Kama mnavyojua kuwa ni muhimu kuwajali wa nyumbani kwako.
Simu ya bebe imevunjika.. Baada ya kunililia shida mdau nimeona nijiongeze kwa kumpa hii ya kwangu.
Kwa kuwa sikuwa na bajeti ya kununua simu hivi karibuni, basi wadau sitokuwapo hewani kwa muda.
wee huyo? Au mwingne? LolSubiri na yako ikivunjika nitakupa ya kwangu
Kweli dea wa kutafuta kwa lol.Hahhaha
Wanaume kama hawa ujue wapo wachache sana