Nimehonga simu kwa bebe, kuanzia kesho sitakuwa hewani kwa muda!

Kama mnavyojua kuwa ni muhimu kuwajali wa nyumbani kwako.

Simu ya bebe imevunjika.. Baada ya kunililia shida mdau nimeona nijiongeze kwa kumpa hii ya kwangu.

Kwa kuwa sikuwa na bajeti ya kununua simu hivi karibuni, basi wadau sitokuwapo hewani kwa muda.
Ataitumia kuwasiliana na baby mwingine😂😂😂
 
Back
Top Bottom