Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,524
- 1,946
Wanajukwaa salaam
Nimehakiki laini zangu na kuomba taarifa za idadi ya laini zilizosajiliwa kupitia namba yangu ya NIDA nimegundua mapungufu yafuatayo
1: Idadi ya namba nilizoambiwa kama zimesajiliwa kupitia namba yangu ya NIDA baadhi sijawahi kuzisajili
2: Baadhi ya namba nilizoletewa nimezicheki kwa kupitia huduma za fedha mtandaoni nimebaini namba hizo hazijasajiliwa kwa kitambulisho changu hivyo kukoleza hoja yangu kwamba taarifa zao sio sahihi
3: Nimewapigia simu watu wanaotumi namba hizo,nimeongea na mmoja na amenihakikishia laini yake haijasajiliwa kwa kitambulisho
changu. Mmoja amethibitisha kama alipewatu laini na anaitumia kufanyia miamala
4: Ipo namba ambayo nimeisajili mwenyewe lakini kwenye orodha ya namba nilizosajili haimo. Ingawa kupitia huduma zakifedha inasoma jina langu
Kwamaelezo hayo ninayo mashaka makubwa juu ya taarifa za idadi ya laini za simu wanazosema zitafungiwa. Wapo ambao wamesajili kwa vitambulisho vyao watafungiwa na wapo waliogushi na wataendelea kupeta
USHAURI NILIOUTOA KWA ALIYESAJILIWA KUPITIA NIDA YANGU
Nimemwambia ajitahidi atoe fedha zake kabla sijafunga laini hiyo. Kwakweli amenielewa na amenishukuru sana
Nimehakiki laini zangu na kuomba taarifa za idadi ya laini zilizosajiliwa kupitia namba yangu ya NIDA nimegundua mapungufu yafuatayo
1: Idadi ya namba nilizoambiwa kama zimesajiliwa kupitia namba yangu ya NIDA baadhi sijawahi kuzisajili
2: Baadhi ya namba nilizoletewa nimezicheki kwa kupitia huduma za fedha mtandaoni nimebaini namba hizo hazijasajiliwa kwa kitambulisho changu hivyo kukoleza hoja yangu kwamba taarifa zao sio sahihi
3: Nimewapigia simu watu wanaotumi namba hizo,nimeongea na mmoja na amenihakikishia laini yake haijasajiliwa kwa kitambulisho
changu. Mmoja amethibitisha kama alipewatu laini na anaitumia kufanyia miamala
4: Ipo namba ambayo nimeisajili mwenyewe lakini kwenye orodha ya namba nilizosajili haimo. Ingawa kupitia huduma zakifedha inasoma jina langu
Kwamaelezo hayo ninayo mashaka makubwa juu ya taarifa za idadi ya laini za simu wanazosema zitafungiwa. Wapo ambao wamesajili kwa vitambulisho vyao watafungiwa na wapo waliogushi na wataendelea kupeta
USHAURI NILIOUTOA KWA ALIYESAJILIWA KUPITIA NIDA YANGU
Nimemwambia ajitahidi atoe fedha zake kabla sijafunga laini hiyo. Kwakweli amenielewa na amenishukuru sana