Nimeguswa sana na maoni ya wanaJF kuhusu kifo cha Hayati Magufuli

Daby

JF-Expert Member
Oct 26, 2014
33,648
75,732
Mimi ni mmoja wa Waafrika wengi tulioguswa na kifo cha Hayati Magufuli. Kusema kweli hakuna kiongozi yeyote aliyepata kufariki kuanzia 2000 aliyepata kunigusa ukimuondoa Magufuli...Gadafi kidogo...

Magufuli alikuwa na mapungufu yake kama ilivyo kwangu na kwako. Alikuwa kiongozi anayeendana na mahitaji ya Tanzania/Afrika ya wakati huu.

Tanzania/Afrika ya sasa tunahitaji viongozi wathubutu, wanaojali watu wa chini, wanaoelewa Afrika inachohitaji.

Nimefurahi kuona watu wa chini wameguswa saana na kututoka kwake. Ila kwa hapa JF wengi wamefurahi uzuri naelewa kwanini wanafurahia.

Lakini ni hawa hawa watu baada ya miaka miwili tu wataanza kulalama kiongozi aliyepo madarakani hayafanyi aliyokuwa anayafanya Magufuli.

Maendeleo sio jambo jepesi...yanahitaji kujitoa..unapotaka maendeleo unahitaji kupoteza baadhi ya vitu. Hiki ndicho Magufuli alifanya. Aliamua kuminya baadhi ya vitu. Hili sio kwa nchi tu hata maendeleo ya mtu mmoja mmoja.

Naumia saana kuona wengi wanamuita Hayati Magufuli Dikteta , mwizi na hakufanya chochote. Niwaambie tu kuna siku mtamlilia.

Kwaherini nitarudi JF baada ya miaka miwili. 2023.

Mnadhani tutakuja kupata kiongozi mfuata demokrasia ya Ulaya, Atakayejenga miundombinu ya Ulaya na kutupa maisha ya Ulaya ndani ya miaka 5???

Kama kwenye akili zenu mnadhania hivi basi mtakufa bila kumpata....kwaherini.
 
Yani kuaga kwako hakumshitui yeyote ni kheri ungefanya mambo yako tu kuliko kuja kueleza hisia zako kwa watu ambao tayari tuna mioyo isiyokuwa na huruma tena.

Nobody knows you humu, umejipangia wakati wa kurudi bahahahaha unaijua kesho yako😕
 
Mimi ni mmoja wa Waafrika wengi tulioguswa na kifo cha Hayati Magufuli. Kusema kweli hakuna kiongozi yeyote aliyepata kufariki kuanzia 2000 aliyepata kunigusa ukimuondoa Magufuli...Gadafi kidogo...

Magufuli alikuwa na mapungufu yake kama ilivyo kwangu na kwako. Alikuwa kiongozi anayeendana na mahitaji ya Tanzania/Afrika ya wakati huu.

Tanzania/Afrika ya sasa tunahitaji viongozi wathubutu, wanaojali watu wa chini, wanaoelewa Afrika inachohitaji.

Nimefurahi kuona watu wa chini wameguswa saana na kututoka kwake. Ila kwa hapa JF wengi wamefurahi uzuri naelewa kwanini wanafurahia.

Lakini ni hawa hawa watu baada ya miaka miwili tu wataanza kulalama kiongozi aliyepo madarakani hayafanyi aliyokuwa anayafanya Magufuli.

Maendeleo sio jambo jepesi...yanahitaji kujitoa..unapotaka maendeleo unahitaji kupoteza baadhi ya vitu. Hiki ndicho Magufuli alifanya. Aliamua kuminya baadhi ya vitu. Hili sio kwa nchi tu hata maendeleo ya mtu mmoja mmoja.

Naumia saana kuona wengi wanamuita Hayati Magufuli Dikteta , mwizi na hakufanya chochote. Niwaambie tu kuna siku mtamlilia.

Kwaherini nitarudi JF baada ya miaka miwili. 2023.
Log out
 
Mimi ni mmoja wa Waafrika wengi tulioguswa na kifo cha Hayati Magufuli. Kusema kweli hakuna kiongozi yeyote aliyepata kufariki kuanzia 2000 aliyepata kunigusa ukimuondoa Magufuli...Gadafi kidogo...

Magufuli alikuwa na mapungufu yake kama ilivyo kwangu na kwako. Alikuwa kiongozi anayeendana na mahitaji ya Tanzania/Afrika ya wakati huu.

Tanzania/Afrika ya sasa tunahitaji viongozi wathubutu, wanaojali watu wa chini, wanaoelewa Afrika inachohitaji.

Nimefurahi kuona watu wa chini wameguswa saana na kututoka kwake. Ila kwa hapa JF wengi wamefurahi uzuri naelewa kwanini wanafurahia.

Lakini ni hawa hawa watu baada ya miaka miwili tu wataanza kulalama kiongozi aliyepo madarakani hayafanyi aliyokuwa anayafanya Magufuli.

Maendeleo sio jambo jepesi...yanahitaji kujitoa..unapotaka maendeleo unahitaji kupoteza baadhi ya vitu. Hiki ndicho Magufuli alifanya. Aliamua kuminya baadhi ya vitu. Hili sio kwa nchi tu hata maendeleo ya mtu mmoja mmoja.

Naumia saana kuona wengi wanamuita Hayati Magufuli Dikteta , mwizi na hakufanya chochote. Niwaambie tu kuna siku mtamlilia.

Kwaherini nitarudi JF baada ya miaka miwili. 2023.
Watu wengi wanaolia, kugalagala na kusikitika wako Kwenye TV.

Mtaani huku kila mtu ana mishe zake.

Ishtoshe, usilazimishe kila mtu asikitike.

Hukulia pamoja pamoja na:

Mke wa Azory Gwanda,

Ndugu wa Kanguye,

Ndugu wa Lwajabe,

Wazazi wa Akwilina Akwilina.

Wala hukuwa pamoja na watu wakiotukanwa, kuteswa na kubomolewa nyuma.

Maisha ni two way traffic. Unataka wewe ufurahi siku zote wewe nani ??

Ulifurahi Tundu Lissu alivyovurumishiwa risasi 32 mchana kweupe, leo sikitika na wewe.

Leo unalazimisha kila mtu aomboleze na wewe ??

Binadamu wote ni SAWA.

Hakuna binadamu BORA ZAIDI kuliko binadamu mwingine.

Uhai wa Magu ni SAWA na Akwilina Akwilina au Uhai wa walio okotwa koko beach.

Kila mtu anamhitaji mpendwa wake kama wewe unavyomtaka wa kwako.

Waafrika wengi tunaishi kinafiki, tutalia sana na kusikitika kwenye camera, ila ikiondolewa wenyewe tunapika pilau.

Magu kawaasalimie tu uliowatanguliza.

Kazi ya kutoa uhai ni ya Mungu na haina makosa.
 
Kizuri kikikosekana kibaya huwa kizuri...

Magufuli alionekana kujibu baadhi ya shida za
Wananchi lakini mradi hakuweka mfumo wa kuendeleza hata asipokuwepo basi in the end bado na yeye atastahili lawama..


Kama watu wakimlilia Kwa sababu yeye hayupo na baadhi ya mambo hayapo..
Ni uthibitisho alikuwa 'one man show's
Hakuweka mfumo wa kutatua shida za wananchi bila kujali Rais ni nani..
Two wrongs do not make it right usisahau..
 
Yaani huku watu tuna roho mbaya mbaya kwa huyo jamaa yako bila unafiki wala kupepesa macho natamani hata angefungwa jiwe shingoni na kutoswa baharini ili unabii utimie,
Chuki aliyoipandikiza kwetu na zile double standard alizokua anaagiza nyumbu zake zitekeleze hakika zilinifanya niwe na roho mbaya juu yake huyo mwendazake

Kiufupi Magufuli alikua ni rais nilietokea kumwelewa sana sana 2015 mbaka anaingia madarakani lakini 2017 ndio mwaka niliopandikizwa chuki iliyo kuu juu yake mbaka mema yake yote yakafutika jumlaaaaaaaa
Nadhani unajua hata wewe mtoa mada unajua nini kilichomkuta yule mtu aliyepigwa na machine za kivita mchana kweupe niishie hiviiii


Nina roho ya jiwe kweri kweri!
 
Mimi ni mmoja wa Waafrika wengi tulioguswa na kifo cha Hayati Magufuli. Kusema kweli hakuna kiongozi yeyote aliyepata kufariki kuanzia 2000 aliyepata kunigusa ukimuondoa Magufuli...Gadafi kidogo...

Magufuli alikuwa na mapungufu yake kama ilivyo kwangu na kwako. Alikuwa kiongozi anayeendana na mahitaji ya Tanzania/Afrika ya wakati huu.

Tanzania/Afrika ya sasa tunahitaji viongozi wathubutu, wanaojali watu wa chini, wanaoelewa Afrika inachohitaji.

Nimefurahi kuona watu wa chini wameguswa saana na kututoka kwake. Ila kwa hapa JF wengi wamefurahi uzuri naelewa kwanini wanafurahia.

Lakini ni hawa hawa watu baada ya miaka miwili tu wataanza kulalama kiongozi aliyepo madarakani hayafanyi aliyokuwa anayafanya Magufuli.

Maendeleo sio jambo jepesi...yanahitaji kujitoa..unapotaka maendeleo unahitaji kupoteza baadhi ya vitu. Hiki ndicho Magufuli alifanya. Aliamua kuminya baadhi ya vitu. Hili sio kwa nchi tu hata maendeleo ya mtu mmoja mmoja.

Naumia saana kuona wengi wanamuita Hayati Magufuli Dikteta , mwizi na hakufanya chochote. Niwaambie tu kuna siku mtamlilia.

Kwaherini nitarudi JF baada ya miaka miwili. 2023.
BIBLIA IMEANDIKA MTU MWOVU/MUONEZI AKIFA WATU HUPIGA KELELE.Unajifanya hujui kuwa magufuli ameua na kuteka watu.
 
Watu wengi wanaolia, kugalagala na kusikitika wako Kwenye TV.

Mtaani huku kila mtu ana mishe zake.

Ishtoshe, usilazimishe kila mtu asikitike.

Hukulia pamoja pamoja na:

Mke wa Azory Gwanda,

Ndugu wa Kanguye,

Ndugu wa Lwajabe,

Wazazi wa Akwilina Akwilina.

Wala hukuwa pamoja na watu wakiotukanwa, kuteswa na kubomolewa nyuma.

Maisha ni two way traffic. Unataka wewe ufurahi siku zote wewe nani ??

Ulifurahi Tundu Lissu alivyovurumishiwa risasi 32 mchana kweupe, leo sikitika na wewe.

Binadamu wote ni SAWA.

Hakuna binadamu BORA ZAIDI kuliko binadamu mwingine.

Uhai wa Magu ni SAWA na Akwilina Akwilina au Uhai wa walio okotwa koko beach.

Kila mtu anamhitaji mpendwa wake kama wewe unavyomtaka wa kwako.

Waafrika wengi tunaishi kinafiki, tutalia sana na kusikitika kwenye camera, ila ikiondolewa tubtukaea wenyewe tunapika pilau.

Magu kawaasalimie tu uliowatanguliza.

Kazi ya kutoa uhai ni ya Mungu na haina makosa.
ccm wenyewe wanafki wamefurahi sana magufuli kufa
 
Magufuli anapingwa mitandaoni tu on ground things are different. Ila hiyo paragraph ya mwisho ni Impossible tense
Haya ni mawazo ya kikenge kweli kweli, kwa akili yako watu wa mitandaoni wanaishi mbinguni? Umeshajiuliza huko mitaani kwa nini wamefunga midomo lakini humu JF watu wanajiachia big time?? Hivi sasa amefariki watu wamekamatwa kwa kuzungumzia kifo chake na kuna waliokamatwa kwa kuzungumzia ugonjwa wake. Je wewe ungeweza kupanua domo lako enzi za uhai wake??
 
Mimi ni mmoja wa Waafrika wengi tulioguswa na kifo cha Hayati Magufuli. Kusema kweli hakuna kiongozi yeyote aliyepata kufariki kuanzia 2000 aliyepata kunigusa ukimuondoa Magufuli...Gadafi kidogo...

Magufuli alikuwa na mapungufu yake kama ilivyo kwangu na kwako. Alikuwa kiongozi anayeendana na mahitaji ya Tanzania/Afrika ya wakati huu.

Tanzania/Afrika ya sasa tunahitaji viongozi wathubutu, wanaojali watu wa chini, wanaoelewa Afrika inachohitaji.

Nimefurahi kuona watu wa chini wameguswa saana na kututoka kwake. Ila kwa hapa JF wengi wamefurahi uzuri naelewa kwanini wanafurahia.

Lakini ni hawa hawa watu baada ya miaka miwili tu wataanza kulalama kiongozi aliyepo madarakani hayafanyi aliyokuwa anayafanya Magufuli.

Maendeleo sio jambo jepesi...yanahitaji kujitoa..unapotaka maendeleo unahitaji kupoteza baadhi ya vitu. Hiki ndicho Magufuli alifanya. Aliamua kuminya baadhi ya vitu. Hili sio kwa nchi tu hata maendeleo ya mtu mmoja mmoja.

Naumia saana kuona wengi wanamuita Hayati Magufuli Dikteta , mwizi na hakufanya chochote. Niwaambie tu kuna siku mtamlilia.

Kwaherini nitarudi JF baada ya miaka miwili. 2023.

Mnadhani tutakuja kupata kiongozi mfuata demokrasia ya Ulaya, Atakayejenga miundombinu ya Ulaya na kutupa maisha ya Ulaya ndani ya miaka 5???

Kama kwenye akili zenu mnadhania hivi basi mtakufa bila kumpata....kwaherini.
Pole Daby💔💔
 
Usiondoke mkuu Daby tuendelee kuwepo uku tukishauriana hapa jf au basi ata chit chat. Kubali kutokukubaliana na kila mtu. Walioguswa tuko wengi tuombe tu uzima tuone ujio wa uongozi mpya. Yote kwa yote nakubaliana na wewe kuhusu magufuli na huitaji wa viongozi wa kariba yake kwa Africa. Mungu ampe pumziko la milele
 
Back
Top Bottom