Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,196
- 1,292
Kwanza kabisa nimshukuru member anayeitwa Chief-Mkwawa pamoja na wadau wote wa technolojia waliochangia kwenye ile thread inayohusu kujihadhari na simu za mitandao ya kikorea, China na marekani....asanteni kwa kunifumbua macho!
Nilinunua Samsung s8 active ikawa haiperforme vizuri, inaganda tu apps zinastopp mara kwa mara. Nikaamua kugoogle ili nijue tatizo na suluhisho lake ndio nikaiona hiyo thread nikasoma vizuri nikafuata maelezo hatimae nikagundua simu yangu ni feki hata imei number haiendani na muundo wa simu daaaaah sijui naifanyaje maana kahela kangu kananiuma mweeeeeh!! Nikifikiria kuwa TCRA wanazifungia ndo nachoka kabisaaaa! Alafu simu yenyewe niliinunua kwenye mnada.......hivi naweza kuirudisha kwa hao jamaa kweli?
Nimecheck kwa ile namba ya TCRA pamoja na Imei info naletewa NONY 312 wakati simu ni S8 active khaaaaa!! Internal memory inasoma 128 GB alafu nikatumia 3Gb tu simu imejaaa hahahaaa wacha tu nijicheke maana sijui hata naifanyaje!!!
1. Je, inaweza kufanyiwa ujanja wowote nikaendelea kuitumia kama kawaida bila matatizo yeyote na TCRA wasiizime?
2. Any other option? Maoni yenu wadau maana nishachanganyikiwa naogopa hata kumuuzia mtu asije akagundua akanishitaki bure!
N.B tusiozijua simu vizuri nashauri turudi tu kwenye tecno. Tecno hata mikoani wana matawi yao ila hizi simu zingine brand kubwa kubwa ni maumivu tu hata ukienda dukani changa la macho ni la kufikia!
Nilinunua Samsung s8 active ikawa haiperforme vizuri, inaganda tu apps zinastopp mara kwa mara. Nikaamua kugoogle ili nijue tatizo na suluhisho lake ndio nikaiona hiyo thread nikasoma vizuri nikafuata maelezo hatimae nikagundua simu yangu ni feki hata imei number haiendani na muundo wa simu daaaaah sijui naifanyaje maana kahela kangu kananiuma mweeeeeh!! Nikifikiria kuwa TCRA wanazifungia ndo nachoka kabisaaaa! Alafu simu yenyewe niliinunua kwenye mnada.......hivi naweza kuirudisha kwa hao jamaa kweli?
Nimecheck kwa ile namba ya TCRA pamoja na Imei info naletewa NONY 312 wakati simu ni S8 active khaaaaa!! Internal memory inasoma 128 GB alafu nikatumia 3Gb tu simu imejaaa hahahaaa wacha tu nijicheke maana sijui hata naifanyaje!!!
1. Je, inaweza kufanyiwa ujanja wowote nikaendelea kuitumia kama kawaida bila matatizo yeyote na TCRA wasiizime?
2. Any other option? Maoni yenu wadau maana nishachanganyikiwa naogopa hata kumuuzia mtu asije akagundua akanishitaki bure!
N.B tusiozijua simu vizuri nashauri turudi tu kwenye tecno. Tecno hata mikoani wana matawi yao ila hizi simu zingine brand kubwa kubwa ni maumivu tu hata ukienda dukani changa la macho ni la kufikia!