sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Huu ni ujumbe nimetumiwa na TCRA baada ya kufuata maelekezo haya ya kupiga *#06# na kufuata maelekezo kwenye simu yangu IMEI haijaoana.
Kimsingi nimenunua simu aina ya Infinix hot 10i haijamaliza hata mwezi nilipofanya hilo zoezi nikaletewa ujumbe huo. Ndivyo Infinix zilivyo ama nimeuziwa feki nimrudie mwuzaji? Msaada kwenye tuta plz.
Kimsingi nimenunua simu aina ya Infinix hot 10i haijamaliza hata mwezi nilipofanya hilo zoezi nikaletewa ujumbe huo. Ndivyo Infinix zilivyo ama nimeuziwa feki nimrudie mwuzaji? Msaada kwenye tuta plz.