Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,948
- 13,378
Shangilia Simba sports club achana nao wazungu hao.
Nalog off
Nalog off
inategemea na nyota yako. samaki, mishale,mizani, ng'e,kondoo.....huwezi kuosha sehemu moja.Hivi wapi naweza kupata huduma ya kusafisha nyota?
Nina tiba ya mikosi ukujee
Pia jamaa ni mshabiki wa Lowasa....Ha ha haaa
Acha uongo!,wewe mwenyewe una mikosi,sasa utamtibu nani??,mwache jamaa aende church huko ndo sehemu sahihi.
Pia jamaa ni mshabiki wa Lowasa....
Wew kweli nyau wa kijani...kakwambia nani nina mikosi?
Cute b,matusi ya nini mkuu!!,kukwambia tu "acha uongo",nimeshakuwa Nyau tena wa Kijani,sasa ningekutukana inavyotakiwa si ungeanza kuokota makopo??,Tuliza munkali JF utataniwa,utachekeshwa,n.k.usiwe mtu wa jazba maisha yenyewe mafupi km mkia wa kitimoto ya nini kujipa presha??.
Owkey samahan
Usijali.
Ha ha ha siku hiz nina busara sana.
Nimeona mkuu.
Hapa ban huakutana nazo kamwe.
Wew ndio uliyenibadilisha ujue