Memtata
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 552
- 1,800
Habari wakuu!
It has been looong time sijatupia visa vyangu so siwezi kumbuka niliongea lini kuhusu hili ila nakumbuka ni humu humu JF nilipost kuhusu kuwa namashaka na mke wangu kuhusu tabia ya kujichua. Mada ilikuwa inahusu mke wangu hapendi kufanya mapenzi, let me dig in nitaweka link hapa hapa.
Sasa katika kuendelea kumfatilia nikawa najinyima usingizi na kuzuga nimelala, siku moja nikiwa nafatilia nakuangalia pirika zote nikiwa mkimya kabisa nisigundulike kama niko macho na niweze kunasa kila kitu nikaanza kuziona pirika, mke wangu akajilaza chali akiwa kajifunika, kwa mkono mmoja akaanza kujichezea nyeti zake. Nakuhakikishia hakuwa akijikuna maana niliona, nilisikia na nilimuumbua nikajikoholesha kikohozi kikavu ajue kabisa nipo macho. Akashtuka na kujirudisha katika hali ya kawaida, mi nikajikausha tukalala.
Kesho yake nikam'bana akaniomba msamaha na kuniahidi hatorudia na kweli hakurudia kwa wakati huo ila juzi hapa ameanza upya kwa ukimya zaid nisijue ila nshaona kila kitu, she's still masturbate!!!
Kwanini naleta kwenu hili?
1. Mke wangu hapendi kufanya mapenzi sana, mashine napiga vizuri kabisa najiuliza kwanini apende kujichua?
2. Sababu ni mimi na je anaweza kuacha tabia hii?
3. Japokuwa kila mtu hupima makosa kwa namna yake nauliza kosa hili linafaa kumuacha?
***Mwisho, hapa tunapeana uzoefu tu kulingana na tatizo, muamuzi nitabaki kuwa mimi so don't panic, don't be emotional wala usitukane.... Jibu kulingana na uelewa wako.
Wasalaam.
It has been looong time sijatupia visa vyangu so siwezi kumbuka niliongea lini kuhusu hili ila nakumbuka ni humu humu JF nilipost kuhusu kuwa namashaka na mke wangu kuhusu tabia ya kujichua. Mada ilikuwa inahusu mke wangu hapendi kufanya mapenzi, let me dig in nitaweka link hapa hapa.
Sasa katika kuendelea kumfatilia nikawa najinyima usingizi na kuzuga nimelala, siku moja nikiwa nafatilia nakuangalia pirika zote nikiwa mkimya kabisa nisigundulike kama niko macho na niweze kunasa kila kitu nikaanza kuziona pirika, mke wangu akajilaza chali akiwa kajifunika, kwa mkono mmoja akaanza kujichezea nyeti zake. Nakuhakikishia hakuwa akijikuna maana niliona, nilisikia na nilimuumbua nikajikoholesha kikohozi kikavu ajue kabisa nipo macho. Akashtuka na kujirudisha katika hali ya kawaida, mi nikajikausha tukalala.
Kesho yake nikam'bana akaniomba msamaha na kuniahidi hatorudia na kweli hakurudia kwa wakati huo ila juzi hapa ameanza upya kwa ukimya zaid nisijue ila nshaona kila kitu, she's still masturbate!!!
Kwanini naleta kwenu hili?
1. Mke wangu hapendi kufanya mapenzi sana, mashine napiga vizuri kabisa najiuliza kwanini apende kujichua?
2. Sababu ni mimi na je anaweza kuacha tabia hii?
3. Japokuwa kila mtu hupima makosa kwa namna yake nauliza kosa hili linafaa kumuacha?
***Mwisho, hapa tunapeana uzoefu tu kulingana na tatizo, muamuzi nitabaki kuwa mimi so don't panic, don't be emotional wala usitukane.... Jibu kulingana na uelewa wako.
Wasalaam.