bhabha bhuhemba
Member
- Dec 6, 2017
- 14
- 6
Lakini ana watoto wawili, na nimekaa nae miezi minne lakini sikuwahi kujua kama ana watoto,
Nimekuja kujua kama ana watoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya matibabu,
Upendo umepungua from higher to lower point,
Naomba kuwasilisha ushauri wenu ni muhimu wadau.
Akili ndefuuuuhttp://
Nimekuja kujua kama ana watoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya matibabu,
Upendo umepungua from higher to lower point,
Naomba kuwasilisha ushauri wenu ni muhimu wadau.
Akili ndefuuuuhttp://