chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
ukipenda boga penda na majani yake.utaacha wangapi sasa.be strong manLakini ana watoto wawili, na nimekaa nae miezi minne lakini sikuwahi kujua kama ana watoto,
Nimekuja kujua kama ana watoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya matibabu,
Upendo umepungua from higher to lower point,
Naomba kuwasilisha ushauri wenu ni muhimu wadau.
Akili ndefuuuu