Maneno "jaffari haniu" yalipaswa yaanze kwa herufi kubwaMkuu wala usiwaze,unapaswa kukosoa pale unapoona hapako sawa.
Lakini makosa haya yapo kabla ya zuhura, nadhani ni kama hakuna anayejali. Wakati wa jaffari haniu ndio makosa yalikua mengi hadi basi, majina ya wateuliwa yanarudiwa rudiwa mara mbili, baadhi ya sehemu zinasahaulika n.k
Kwahiyo afundishwe kuandika Imla?
Nawe koma zimekaa sehemu zisizostahili, nikianza kukusahihisha tutakesha, ukweli ni kuwa uandishi wetu ni wa mazoea kwani hao wanaotufindisha wanahitaji kufundishwa.Japo mimi sio mtaalama wa maswla ya uandishi na wala si mwandishi wa habari, ila nimegundua makosa madogo ya kiuandishi katika press realease ya leo iliyotolewa na Madam Zuhura Yunus aliefanya kazi kwenye chombo kikubwa cha habari kama BBC.
Kwa uelewa wangu mdogo, Dada yangu Zuhura anakosea katika matumizi ya comma, ila kutokana na unyeti wa nafasi yake, makosa haya yasipuuzwe unless mimi ndio niko wrong.
Kwa mfano, neno TPA liloko katika mabano, lilipaswa kufuatiwa na comma kabla ya kutaja jina la Ndugu Eric Hamisi ambae uteuzi wake umetenguliewa.
Kasoro nyingine naiona katika hii sentesi: "kabla ya uteuzi huo".
Kwa uelewa wangu mdogo, mwisho wa sentesi hiyo fupi, kulistahili kuwa na comma kabla ya kuendelea na sentesi iliyofiuayta inayoanza na "Ndugu".
Ukiacha kasoro hizo mbili, hata hii sentesi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa" , iliostahili kufuatiwa na comma kabla ya kuendelea na maneno yanayofuayta (yaani ingeandikwa hivi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa, ......").
Hata katika aya ya kwanza, sentesi: "...... leo 04, July 2022 ......" comma ilipaswa kufuata baada ya 2022 na kisha ndio angeendelee na maneno yaliyofuata(yaanii ingekuwa hivi: 2022, ametengua ......).
Kama nimekosea mnisahihishe, ila kama niko sahihi kama navyoamini, wataalamu wa uandishi watakuwa wanaona makosa mangapi na ukizingatia hii ni document kutoka ofisi kubwa kabisa kwa nchi yetu?
Kwakweli kama ni kupitiwa au alisahau kufanya editing, basi walau kasoro hiyo ingejitokeza mara moja au mbili, ila hapa imejitokeza mara tatu na si ajabu kuna makosa mengine yanayoweza kuainishwa na wataalamu wa uandishi.
Ukosoaji huu ni kwa nia njema kwani document kama hii inasomwa na watu wengi wa ndani na nje ya nchi.
Sisi wengine hata tukichapia sawa tu, ila sio Zuhura kwa nafasi aliyonayo, na pia kwa fani aliyonayo ya uandishi wa habari.
View attachment 2281127
Huyu alikuwa mtangazaji, siyo mwandishi jamani.Makosa ni mengi tu kiukweli.
Hata uandishi wa tarahe haujakaa sawa,pia neno Ikulu mwisho wa habari lilipaswa liwekewe nukta lakini hajafanya hivyo!!
Alama za uandishi hazijazingatiwa kabisa. Kuna haja kubwa sana kufanyiwa kazi haya makosa madogo. Kuandika tarehe "4Julai,2022"aise HAPANA!!
Naunga mkono hoja! Dada kaandika li press release la hovyo kabisa! Utafikri limeandikwa na kanjanja! Hivi hii sentensi "Ndugu Plasduce Mkeli Mbossa anachukua nafasi ya ndugu Eric Khamis" ndiyo inatakiwa kuwa hivyo kweli? Kwa nini asingeandika "Wakati huo huo Mh. Rais amemteua ndugu......... kuwa mkurugenzi mkuu wa Bandari? Na ile sentensi ya uteuzi huo unaanza tarehe........ kwa nini isingekuwa kwenye para moja na huo uteuzi? Nikiri tu kwamba press release za Jaffar Haniu na Msigwa zilikuwa nzuri kuliko za huyu mdada!Japo mimi sio mtaalama wa maswla ya uandishi na wala si mwandishi wa habari, ila nimegundua makosa madogo ya kiuandishi katika press realease ya leo iliyotolewa na Madam Zuhura Yunus aliefanya kazi kwenye chombo kikubwa cha habari kama BBC.
Kwa uelewa wangu mdogo, Dada yangu Zuhura anakosea katika matumizi ya comma, ila kutokana na unyeti wa nafasi yake, makosa haya yasipuuzwe unless mimi ndio niko wrong.
Kwa mfano, neno TPA liloko katika mabano, lilipaswa kufuatiwa na comma kabla ya kutaja jina la Ndugu Eric Hamisi ambae uteuzi wake umetenguliewa.
Kasoro nyingine naiona katika hii sentesi: "kabla ya uteuzi huo".
Kwa uelewa wangu mdogo, mwisho wa sentesi hiyo fupi, kulistahili kuwa na comma kabla ya kuendelea na sentesi iliyofiuayta inayoanza na "Ndugu".
Ukiacha kasoro hizo mbili, hata hii sentesi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa" , iliostahili kufuatiwa na comma kabla ya kuendelea na maneno yanayofuayta (yaani ingeandikwa hivi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa, ......").
Hata katika aya ya kwanza, sentesi: "...... leo 04, July 2022 ......" comma ilipaswa kufuata baada ya 2022 na kisha ndio angeendelee na maneno yaliyofuata(yaanii ingekuwa hivi: 2022, ametengua ......).
Kama nimekosea mnisahihishe, ila kama niko sahihi kama navyoamini, wataalamu wa uandishi watakuwa wanaona makosa mangapi na ukizingatia hii ni document kutoka ofisi kubwa kabisa kwa nchi yetu?
Kwakweli kama ni kupitiwa au alisahau kufanya editing, basi walau kasoro hiyo ingejitokeza mara moja au mbili, ila hapa imejitokeza mara tatu na si ajabu kuna makosa mengine yanayoweza kuainishwa na wataalamu wa uandishi.
Ukosoaji huu ni kwa nia njema kwani document kama hii inasomwa na watu wengi wa ndani na nje ya nchi.
Sisi wengine hata tukichapia sawa tu, ila sio Zuhura kwa nafasi aliyonayo, na pia kwa fani aliyonayo ya uandishi wa habari.
View attachment 2281127
Usimlinganishe mleta hoja na mtu aliyesomea hicho kitu! Huyu mdada ni mbobezi kwenye Tasnia ya habari kwa hiyo anatakiwa awe deep kuliko Salary Slip!Mleta hoja hapa hata wewe bandiko lako la masahihisho kwa Zuhura Yunus lina makosa mengi sana. Ulitakiwa "kuliediti" kabla hujaruhusu au hujaliachia liende hewani.
Mkuu tukiamua kufuata hizo tahajia hakuna Mtanzania anayeongea Kiswahili sanifuJapo mimi sio mtaalama wa maswla ya uandishi na wala si mwandishi wa habari, ila nimegundua makosa madogo ya kiuandishi katika press realease ya leo iliyotolewa na Madam Zuhura Yunus aliefanya kazi kwenye chombo kikubwa cha habari kama BBC.
Kwa uelewa wangu mdogo, Dada yangu Zuhura anakosea katika matumizi ya comma, ila kutokana na unyeti wa nafasi yake, makosa haya yasipuuzwe unless mimi ndio niko wrong.
Kwa mfano, neno TPA liloko katika mabano, lilipaswa kufuatiwa na comma kabla ya kutaja jina la Ndugu Eric Hamisi ambae uteuzi wake umetenguliewa.
Kasoro nyingine naiona katika hii sentesi: "kabla ya uteuzi huo".
Kwa uelewa wangu mdogo, mwisho wa sentesi hiyo fupi, kulistahili kuwa na comma kabla ya kuendelea na sentesi iliyofiuayta inayoanza na "Ndugu".
Ukiacha kasoro hizo mbili, hata hii sentesi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa" , iliostahili kufuatiwa na comma kabla ya kuendelea na maneno yanayofuayta (yaani ingeandikwa hivi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa, ......").
Hata katika aya ya kwanza, sentesi: "...... leo 04, July 2022 ......" comma ilipaswa kufuata baada ya 2022 na kisha ndio angeendelee na maneno yaliyofuata(yaanii ingekuwa hivi: 2022, ametengua ......).
Kama nimekosea mnisahihishe, ila kama niko sahihi kama navyoamini, wataalamu wa uandishi watakuwa wanaona makosa mangapi na ukizingatia hii ni document kutoka ofisi kubwa kabisa kwa nchi yetu?
Kwakweli kama ni kupitiwa au alisahau kufanya editing, basi walau kasoro hiyo ingejitokeza mara moja au mbili, ila hapa imejitokeza mara tatu na si ajabu kuna makosa mengine yanayoweza kuainishwa na wataalamu wa uandishi.
Ukosoaji huu ni kwa nia njema kwani document kama hii inasomwa na watu wengi wa ndani na nje ya nchi.
Sisi wengine hata tukichapia sawa tu, ila sio Zuhura kwa nafasi aliyonayo, na pia kwa fani aliyonayo ya uandishi wa habari.
View attachment 2281127
Umekosea wewe. Hapo ameandika inavyopaswa.Nahisi umakini unahitajika,leo tarehe 4/7,kaweka comma,ila sahihi ni leo tarehe 4/7/2022,
Hapa issue sio kiswahili bali ni uandisdhi ukizingatia wao ni wataalamu.Mkuu tukiamua kufuata hizo tahajia hakuna Mtanzania anayeongea Kiswahili sanifu
Pascal Mayalla tusaidie hapa maana naona tunabishana tu.Huyu alikuwa mtangazaji, siyo mwandishi jamani.
Daaaah....sawa4Julai,2022"
Upo sahihi 100%Japo mimi sio mtaalama wa maswla ya uandishi na wala si mwandishi wa habari, ila nimegundua makosa madogo ya kiuandishi katika Press Realease ya leo iliyotolewa na Madam Zuhura Yunus aliefanya kazi kwenye chombo kikubwa cha habari kama BBC.
Kwa uelewa wangu mdogo, Dada yangu Zuhura anakosea katika matumizi ya comma, ila kutokana na unyeti wa nafasi yake, makosa haya yasipuuzwe unless mimi ndio niko wrong.
Kwa mfano, neno TPA liloko katika mabano, lilipaswa kufuatiwa na comma kabla ya kutaja jina la Ndugu Eric Hamisi ambae uteuzi wake umetenguliewa.
Kasoro nyingine naiona katika hii sentesi: "kabla ya uteuzi huo".
Kwa uelewa wangu mdogo, mwisho wa sentesi hiyo fupi, kulistahili kuwa na comma kabla ya kuendelea na sentesi iliyofiuayta inayoanza na "Ndugu".
Ukiacha kasoro hizo mbili, hata hii sentesi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa" , iliostahili kufuatiwa na comma kabla ya kuendelea na maneno yanayofuayta (yaani ingeandikwa hivi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa, ......").
Hata katika aya ya kwanza, sentesi: "...... leo 04, July 2022 ......" comma ilipaswa kufuata baada ya 2022 na kisha ndio angeendelee na maneno yaliyofuata(yaanii ingekuwa hivi: "..... leo 04, July 2022, ametengua ......).
Kama nimekosea mnisahihishe, ila kama niko sahihi kama navyoamini, wataalamu wa uandishi watakuwa wanaona makosa mangapi na ukizingatia hii ni document kutoka ofisi kubwa kabisa kwa nchi yetu?
Kwakweli kama ni kupitiwa au alisahau kufanya editing, basi walau kasoro hiyo ingejitokeza mara moja au mbili, ila hapa imejitokeza mara tatu na si ajabu kuna makosa mengine yanayoweza kuainishwa na wataalamu wa uandishi.
Ukosoaji huu ni kwa nia njema kwani document kama hii inasomwa na watu wengi wa ndani na nje ya nchi.
Sisi wengine hata tukichapia sawa tu, ila sio Zuhura kwa nafasi aliyonayo, na pia kwa fani aliyonayo ya uandishi wa habari.
NB: Tatizo kubwa hapa si typing error, kosa ambalo wengi hulifanya/tunalifanya, bali tatizo linaoonekana ni Mhusika kuwa na udhaifu kwenye matumizi ya "comma" kwenye uandidshi na ndio maana kasoro husika imejirudia zaidi ya mara tatu kitu ambacho sio kizuri kwa mtu kama yeye ukizingatia wadhifa alionao.
View attachment 2281127
Tar 4 July, hapo lazima uweke koma we kichwa nazi kwakuwa neno July limetumikaNahisi umakini unahitajika,leo tarehe 4/7,kaweka comma, ila sahihi ni leo tarehe 4/7/2022,
Makosa ni mengi tu kiukweli.
Hata uandishi wa tarahe haujakaa sawa,pia neno Ikulu mwisho wa habari lilipaswa liwekewe nukta lakini hajafanya hivyo!!
Alama za uandishi hazijazingatiwa kabisa. Kuna haja kubwa sana kufanyiwa kazi haya makosa madogo. Kuandika tarehe "4Julai,2022"aise HAPANA!!
Ameandika kama anatangaza mpiraNaunga mkono hoja! Dada kaandika li press release la hovyo kabisa! Utafikri limeandikwa na kanjanja! Hivi hii sentensi "Ndugu Plasduce Mkeli Mbossa anachukua nafasi ya ndugu Eric Khamis" ndiyo inatakiwa kuwa hivyo kweli? Kwa nini asingeandika "Wakati huo huo Mh. Rais amemteua ndugu......... kuwa mkurugenzi mkuu wa Bandari? Na ile sentensi ya uteuzi huo unaanza tarehe........ kwa nini isingekuwa kwenye para moja na huo uteuzi? Nikiri tu kwamba press release za Jaffar Haniu na Msigwa zilikuwa nzuri kuliko za huyu mdada!
Ahaaa yaani amechukua kama ya kwake vileHarafu muundo wa wa sentensi na tungo zake zinamfumo wa Kiingeleza sio kiswahili.
View attachment 2281463
Sentensi kama hii ni kama vile huyu Mbossa hajateuliwa ila amechukua tu basi.
Vingine tumebaki kuelewa kwa sasabu ya mazoea.
Harafu muundo wa wa sentensi na tungo zake zinamfumo wa Kiingeleza sio kiswahili.
View attachment 2281463
Sentensi kama hii ni kama vile huyu Mbossa hajateuliwa ila amechukua tu basi.
Vingine tumebaki kuelewa kwa sasabu ya mazoea.