Nimegundua madaktari wengi wanaoa wagonjwa wao!

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,703
22,743
Habari wana MMU,.

Ninafahamiana na madaktari wengi ambao nimepata kufanya kazi nao nyakati tofauti tofauti katika maisha yangu.

Wengi wao nilipotaka kupata historia zao katika mahusiano na hasa walipataje mke waliniambia madaktari wengi wanawaoa wagonjwa wao wanaofika mahospitalini kwa matibabu.

Nilistaajabu sana iweje daktari amuoe mgonjwa wake? Majibu ni kwamba daktari anapomtibu mgonjwa wake akapona vizuri hujenga imani kubwa sana na daktari wake hivyo endapo mwanamke huyo atakuwa bado hajaolewa daktari akimtaka awe mke wake wengi wao huwa hawakatai ombi hilo.

Wakuu naomba kupata mitazamo yenu pia Juu ya hili.

Nawasilisha,...
 
Siyo kweli,huo ni mtazamo fanya utafi wa kutosha..maana wengine wanasema always dr vs nurse, dr vs dr, dr vs mwalimu...
 
Kweli muhimbili maprof wengi wameoa wagonjwa wao kama uhamini kaulize
 
Every person ni potential mgonjwa kama sio leo basi kesho utaugua....so mwanamke yoyote akiolewa na daktar unaweza ona kama kaoa "mgonjwa" wake....dont rush to make coclusions....kwa mtazamo huu utasema pia mwalim anaoa mwanafunz....polisi anaoa mtuhumiwa au shahidi.....the argument eti kwakuwa umemtibu anajenga imani...as if the only reason to get narried to someone ni imani....anywsys sikubaliani na eewewe
 
Every person ni potential mgonjwa kama sio leo basi kesho utaugua....so mwanamke yoyote akiolewa na daktar unaweza ona kama kaoa "mgonjwa" wake....dont rush to make coclusions....kwa mtazamo huu utasema pia mwalim anaoa mwanafunz....polisi anaoa mtuhumiwa au shahidi.....the argument eti kwakuwa umemtibu anajenga imani...as if the only reason to get narried to someone ni imani....anywsys sikubaliani na eewewe

Bravo Doc...umenena!
 
Every person ni potential mgonjwa kama sio leo basi kesho utaugua....so mwanamke yoyote akiolewa na daktar unaweza ona kama kaoa "mgonjwa" wake....dont rush to make coclusions....kwa mtazamo huu utasema pia mwalim anaoa mwanafunz....polisi anaoa mtuhumiwa au shahidi.....the argument eti kwakuwa umemtibu anajenga imani...as if the only reason to get narried to someone ni imani....anywsys sikubaliani na eewewe[/QUOT SAFI KABISA CHIEF WANGU
 
that is obvious!!ulitegemea waoe kina nani kama watu wote lazima waugue at time...
 
Every person ni potential mgonjwa kama sio leo basi kesho utaugua....so mwanamke yoyote akiolewa na daktar unaweza ona kama kaoa "mgonjwa" wake....dont rush to make coclusions....kwa mtazamo huu utasema pia mwalim anaoa mwanafunz....polisi anaoa mtuhumiwa au shahidi.....the argument eti kwakuwa umemtibu anajenga imani...as if the only reason to get narried to someone ni imani....anywsys sikubaliani na eewewe

You are absolutely right mkuu,. Kama umenielewa vizuri namaanisha patients wanafika kwa daktari husika kwa ajili ya matibabu!!
 
Embu kamilisha tafiti zako na hospitali ya mirembe utuletee ripoti hapa.

Teh teh,. Mkuu hao wana mental impaired, kwa hiyo ni exceptional you can't marry such a person!!
 
Habari wana MMU,.

Ninafahamiana na madaktari wengi ambao nimepata kufanya kazi nao nyakati tofauti tofauti katika maisha yangu.

Wengi wao nilipotaka kupata historia zao katika mahusiano na hasa walipataje mke waliniambia madaktari wengi wanawaoa wagonjwa wao wanaofika mahospitalini kwa matibabu.

Nilistaajabu sana iweje daktari amuoe mgonjwa wake? Majibu ni kwamba daktari anapomtibu mgonjwa wake akapona vizuri hujenga imani kubwa sana na daktari wake hivyo endapo mwanamke huyo atakuwa bado hajaolewa daktari akimtaka awe mke wake wengi wao huwa hawakatai ombi hilo.

Wakuu naomba kupata mitazamo yenu pia Juu ya hili.

Nawasilisha,...
Mkuu ww unaexperience ya kufanya kazi hospital zipi na wapi?Na je wewe umeoa au bado?na je,mkeo alikua mgonjwa wako au lah?
 
You are absolutely right mkuu,. Kama umenielewa vizuri namaanisha patients wanafika kwa daktari husika kwa ajili ya matibabu!!

Mind you daktari akikutana na mtu hata kama ni baa at some point ataanza ataulizwa anything to do with health...mara utaskia afadhali kumbe we dr sasa dr nina tatizo....pili u ought to consider the number of people daktaru anainteract nao na ujue wangapi ana fall nao in lov....or the other way round angalia ndaktari kadate watu wangapi then tuone wangapi walikuwa immediate patients wake....mind you dr patient relationship haiishi mgonjwa akipona....wagonjwa wengi wanapenda kukeep in touch with drz just in case akiugua tena in the future asipate shida...then tujiulize how do people fall in lov....tstzo ni kuwa ur argument ina suggest as if simply because ur a patient to a dr therefore u likely to be more confident and eventually fal in lov..its a bit pragmatic
 
kaja na gonjwa la STD's/ghono akatibiwa akapona ...yet daktari hajiulizi kapata wapi anarusha karataaaa
 
Hilo linawezekana tu na hakuna ubishi!Sasa mfano mimi kazi yangu ni kuonana na wagonjwa tangu saa moja asb hadi tatu usiku kila siku!Siimbi kwaya kanisani,sikai mtaani kwangu muda wa kazi,sitembelei wala kutembelewa na marafiki kwani muda wangu mwingi nautumia na wagonjwa!Zaidi ni ma barmaid ndio nakutana nao usiku,je unadhani naweza kupata mke ambaye sijakutana naye kwenye mazingira yangu ya kazi?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Every person ni potential mgonjwa kama sio leo basi kesho utaugua....so mwanamke yoyote akiolewa na daktar unaweza ona kama kaoa "mgonjwa" wake....dont rush to make coclusions....kwa mtazamo huu utasema pia mwalim anaoa mwanafunz....polisi anaoa mtuhumiwa au shahidi.....the argument eti kwakuwa umemtibu anajenga imani...as if the only reason to get narried to someone ni imani....anywsys sikubaliani na eewewe

Na Kichaa AU Taahira Anamuoa Nani?????????????????????????????
 
Back
Top Bottom