Tarime one
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 2,246
- 1,740
Wajameni leo nimegundua my wife yuko humu Jamii Forums tena anapenda hiki kitengo cha MMU. Sasa nitakosa uhuru wa kuchangia.
Sijajua how long yuko humu but nimeshtuka sana,najaribu kujua ID anayotumia na kila nikimuuliza anacheka tu, hii balaa inabidi niwe mpole.
Sijajua how long yuko humu but nimeshtuka sana,najaribu kujua ID anayotumia na kila nikimuuliza anacheka tu, hii balaa inabidi niwe mpole.