Nimegundua haya

Kwahyo unataka kusema unachokiamini wewe ni sahihi hata kama ni cha uongo, na kile wanachoamini wengine ni potofu hata kama ni cha kweli?
Kwanza hakuna imani isiyo na matokeo, kila mtu anachoamini huwa kinamletea matokeo chanya au hasi.

Sijasema nani yuko sahihi na nani hayuko sahihi, usahihi wa hiki utajulikana kwa kila mmoja wetu mwisho wa safari yake.

Hivyo kila mmoja kwa sasa yuko sahihi maana anachoamini kwake ni sahihi, ila aliye sahihi zaidi atajulikana huko mbeleni maana wote hatuna miaka 100 ya kuishi iliyobakia ya kuujua ukweli usio na konakona.
 
Mwisho wa siku yatajadiliwa mengi na yataandikwa mengi sana lakini hakuna aujuae ukweli,ni kupoteza muda tu.

Nani amekufa akajua mtu akifa anaenda wapi,kuna nini,na kinamtokea/kimemtokea nini huko?huku ni kujazana upepo tu kama kitu kidogo kama kurudisha uhai wangu nikikata moto wanasayansi wakiwa na maiti yangu wanashindwa ndiyo waje leo kusema roho/pumzi yangu imeenda wapi!!!
 
Habari wakuu

1. Binadamu hawafi, miili ndo hufika mwisho kuoperate

2. Sisi ni immortals/spiritual beings hatufii

3. Hakuna motoni wala mbinguni

4. Sio kila mwenye mwili wa mtu ni binadamu,wengine ni chitauli/aliens na wengine mijusi/reptilia

5. Tunaishi kwenye duara la maisha,tukitoka kwenye miili iliyokufa tunarudi tena kwenye miili inayozaliwa,tunafutwa kumbukumbu na roho kama sisi zenye ufahamu kubwa ambazo hazina upendo na hekima,kituo chao kimoja duniani kipo chini ya mlima ruwenzori

6. Kila mtu ni mchawi sema hajui kuutumia au kuuamsha na uwe mbaya au mzuri ni uamuzi wako

7. Vitabu vyote vya dini vimetokea mashariki ya kati ni vimeandikwa na wakufunzi wa shule za ajabu za misri/kemeti wenye kabila la levi/wayahudi wa zamani

8. Sisi tumetokea kwenye utupu mkuu kama roho ila miili tuliiumba kama majaribio ,kuna muda tuliiva tukashindwa kujitoa

9. Dunia ni jela ya roho za ulimwengu mwingine ambazo hukaa ndani ya miili maisha yao yote kutoka kwa maiti na kurudi kwa vichanga

10. Wazungu ni breed ya watoto wa chitauli na mwanamke wa kiafrika

11. DNA zote za wanawake duniani zina link africa

12. Tumechanganyiwa DNA ndo maana hatujui tumetoka wapi,kwanini tupo hapa na tunaelekea wapi

13. Tulikuwa na teknologia mara 1000 ya sasa,hatukuwa nyani wala hatukuumbwa na Mungu.

14. Mungu maana yake ''aliyeshuka toka angani'',ndio asili ya neno hilo wakimaanisha kiumbe wa ajabu mwenye uwezo wa kuua na kufufua,kuumba na kupoteza mf.chitauli,draco na wengine

15. Tunajua kila kitu ila tumefumbwa ufahamu,kila tunapotoka kwenye maiti tunafutwa kumbukumbu na kurudi tena japo bado duniani pia si kwetu.

16. Ukifa ukiona mwanga usielekee huko nenda upande wenye giza ndipo utajitoa kwenye hili gereza,ukifata mwanga utanasa kwenye neti za roho za kufuta memory na utarudi

Wewe je
Hii no. 10 ndo sahihi zaidi. Hata mimi nishaifatilia sana.
 
Haujajibu swali langu la msingi unazidi kuleta hoja ambazo huenda zikaongeza maswali to infinity...; Swali langu la msingi ni kama Spirits have always existed na kinachofanyika ni kubadilisha tu vehicles (bodies) iweje hizo bodies zinaongezeka kuliko kabla sababu zingekuwa ni zile zile za kutosheleza spirits hakuna haja ya kuziongeza..., na kama watu wakikosa wanakuja kama wadudu basi makosa yamepungua sababu binadamu tunaongezeka...
Inshort there are trillions and trillions of spirits earth is just a playing ground,spirits do not depend on bodies they just live on them either ziwepo au zisiwepo it doent matter its a simulation or illusion anyways,na spirits nyingi zipo outside our realm japo hata inside pia zipo nyingi ila zipo captured kwenye hiyo amnesia belt

Teknologia inakuwa kwasababu kuna baadhi ya spirits zinaanza kukumbuka baadhi ya maarifa ya sayari zao ama teknologia zilizoporomoka
 
Wewe ukiamini unachoamini kuwa ukifa unazaliwa kwingine na kuwa hakuna MUNGU MKUU inatosha.

Habari za sijui unajua maana ya imani potofu hazihusiki hapa maana kila mtu anachoamini kwake mtu huyo ni sahihi na vile wanavyoamini wengine ni potofu.
Kuamini-kuwa na shaka

Je unajua au unaamini katika uwepo wa Mungu,na ile tuelewane useme Mungu ni nini au nani,ni uwepo,nguvu,kiumbe,roho,mwanga,giza ama nini
 
Mwisho wa siku yatajadiliwa mengi na yataandikwa mengi sana lakini hakuna aujuae ukweli,ni kupoteza muda tu.

Nani amekufa akajua mtu akifa anaenda wapi,kuna nini,na kinamtokea/kimemtokea nini huko?huku ni kujazana upepo tu kama kitu kidogo kama kurudisha uhai wangu nikikata moto wanasayansi wakiwa na maiti yangu wanashindwa ndiyo waje leo kusema roho/pumzi yangu imeenda wapi!!!
Mtu anakufa wewe unabaki
 
Mwisho wa siku yatajadiliwa mengi na yataandikwa mengi sana lakini hakuna aujuae ukweli,ni kupoteza muda tu.

Nani amekufa akajua mtu akifa anaenda wapi,kuna nini,na kinamtokea/kimemtokea nini huko?huku ni kujazana upepo tu kama kitu kidogo kama kurudisha uhai wangu nikikata moto wanasayansi wakiwa na maiti yangu wanashindwa ndiyo waje leo kusema roho/pumzi yangu imeenda wapi!!!
Wapo watu wanajua mkuu ,ila inabaki kama personal experience tu wala hawezi andika kwa sababu itakua kama mahubiri tu .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom