Nimeghairi kuwa tajiri

Nimeghairi kuwa tajiri

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
23,635
Reaction score
56,979
Aah basi Tu nimejikinai nishaona hakuna dalili za kutoboa nimeridhikiwa nimeona niishie level hii hii inanitosha.mahitaji ya msingi ni malazi,mavazi na chakula mengine sitaki tutawasindikiza ndotoni usiku.

Maana nimeona wananipa pressure wanadamu kwamba ooh unakunywa pombe huwezi kutajirika sasa Mimi nimechoka makelele hayo nataka niwe huru yaani nisiutake sasa huo utajiri kwa maana dunia haiwezi kubadilika chochote Mimi nisipofanikiwa kumiliki millions.
 
Utajiri ni non-satiable

Ungekuwa nao, ungeutaka zaidi na zaidi, huku along the way, ukijikuta uki abuse huo utajiri kwa kuwatesa wanadamu wenzako. Unajikuta ukija kufa tu, ndani ya mwaka mmoja, mali zote zimetapanywa na dunia haikukumbuki tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom