Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 5,994
- 19,779
Marafiki 50 nilishtuka maana hata watu nakutana nao mara, kwa mara hawafiki hiyo idadiMakosa nayoyaona mimi;
1. Kuwa na marafiki wengi, huwezi kuwa na marafiki wote hao. Labda useme ni watu tu mnawasilina lakini marafiki kama marafiki huwa ni idadi ndogo sana, labda watano tu.
2. Kufanya huku ukisubiri fadhila, kama ni mtu wa kusaidia huna haja ya kuangalia nimemsaidia nani kwa ajili gani na atanipa nini nikipata majanga.
3. Unasaidia kupitiliza, watu wengi hivyo unajitoa kwao? Ni wengi mno...
Licha ya yote alichofanya ni muhimu sana haswa kwa yeye ambaye ameweka life yake kama open book ndio maana wengi wana access nalo lakini pia,
Muhimu asiwafungie watu vioo jumla ila Tu aweke mipaka
Kuna mtu unatakiwa kujuana nae tu kama CONNECTION za mjini, wengine wa kurefresh na wale ambao ni ride or die ambao ukipata tatizo wapo na wewe. Aina hii ukipata hata wawili au watatu bhasi umebahatika sanaaaaa