Nimefurahi kuona maandamano nchini Iran

Nimefurahi kuona maandamano nchini Iran

Uislam hauko hivyo wanajifanya kusimamia sheria kumuonyesha USA hao jamaa wapuuzi sana na wameonyesha hawana ubinadamu wowote na shida kubwa kwa Nchi za kiarabu wao utu wamekosa kabisa yaani kutoana roho ni kitu chepesi kabisa ukiuliza sijui suruali haikufika chini ya magoti mara hijabu haijavaliwa vizuri na shule nyingine hawataki wanadai ni ya Mmarekani wana mafuta mengi Nchi ipo busy kutengeneza siraha kumsaidia Mrusi badala ya kuboresha maisha ya watu wake jamaa Waduanzi sana...bado kile kikosi chao cha kuua mazee daah huko ni hatari balaa
 
Hao wanaotaka muoane me kwa me ndio hawaminyi haki za raia waoU S na ISRAHELL sio adui wa IRAN tu hao UMBWA ni maadui wa DUNIA nzima

Mwisho:- Kitendo cha huyo mschana kuuliwa nichakishenzi sana na kinahuzunisha sana ila maandamano yatoshe sasa maana hayatamrejesha Marehem na wauaji washughulikiwe haswaaa
IRAN TAIFA TEULE

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasahau hata juzi kati hapa us kulikua na maandamano baada ya kuuliwa floyd so wote pipa na mfuniko sioni wa kumtetea hapo

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Israel iliyotajwa sio Hawa mashoga waliokusanywa kutoka Ulaya na kupelekwa pale middle East, wamefanikiwa kuwapoteza hao mburula wanakubali kila kitu, na ndio maana wanaathari kubwa ya ushoga na nchi karibia yote wansbomolewa rivas
Israel iliyotajwa ni ipi n watu wake ni wapi?
 
Hao askari wanaweza kufanya uislamu uonekane dini ya kipumbavu kama Ayatola atabariki mauaji hayo. Siku hizi Mungu ana mawakala wa kutoa adhabu duniani kumbe? Inasikitisha sana
 
Hao wanaotaka muoane me kwa me ndio hawaminyi haki za raia waoU S na ISRAHELL sio adui wa IRAN tu hao UMBWA ni maadui wa DUNIA nzima

Mwisho:- Kitendo cha huyo mschana kuuliwa nichakishenzi sana na kinahuzunisha sana ila maandamano yatoshe sasa maana hayatamrejesha Marehem na wauaji washughulikiwe haswaaa
IRAN TAIFA TEULE

Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana Utam, weee! Nilikuona jinsi ulivyotangaza kwenye thread nyingine "URUSI TAIFA TEULE"! Sasa Iran?? Unasaliti Urusi?? Maana haiwezekani kuwa na taifa teule mara mbili!!
Pole sana! Nani atamfariji Putin ???

Basi wasalimie huko Ghom.
 
Hao Saud unaowaita wajinga Ni nchi chache sana Duniani zinaweza kusema zina Maendeleo watu kushinda wao.

Wamefanikisha nchi Nzima kutoa umasikini, Raia wanasomeshwa wanavyotaka na wanaofanya vizuri wanasoma Nchi yoyote, hakuna raia hata mmoja ambaye ni Homeless. Imefika stage kutomiliki gari na nyumba ni umasikini wanataka kila Raia awe na Gari.

Fananisha na huku kwetu Sasa uone kama wao ni wajinga ama. Kila siku natoa Mfano humu Nigeria ana mafuta kama Nchi za Kiarabu ila Hana Maendeleo, Hapa Tanzania hizo nchi za kiarabu zingekua hata na asilimia 10 ya rasilimali zetu wangekua na Maendeleo kuliko Sisi.
Ni kweli kamba Nigeria ni mfano mbaya sana. Ila ukilinganisha Nigeria na Saudia uangalie namba halisi. Kwanza Mapato ya Saudia ni mara nyingi za Nigeria (Saudia wanazalisha tani zaidi ya 500, ilhali Nigeria ni chini ya 100. Pili idadi ya watu Nigeria ni kubwa kuliko Saudia.
Saudia kama nchi nyingi za Waarabu penye mafuta mengi yamebaki nyuma hata wakiweza kununua kila kitu - ila hadi wapate raia wanaochapa kazi hawataendelea kweli. Hadi sasa kwa kazi nyingi ni watu wa nje tu.
 
Ni kweli kamba Nigeria ni mfano mbaya sana. Ila ukilinganisha Nigeria na Saudia uangalie namba halisi. Kwanza Mapato ya Saudia ni mara nyingi za Nigeria (Saudia wanazalisha tani zaidi ya 500, ilhali Nigeria ni chini ya 100. Pili idadi ya watu Nigeria ni kubwa kuliko Saudia.
Saudia kama nchi nyingi za Waarabu penye mafuta mengi yamebaki nyuma hata wakiweza kununua kila kitu - ila hadi wapate raia wanaochapa kazi hawataendelea kweli. Hadi sasa kwa kazi nyingi ni watu wa nje tu.
Hiyo Chini ya 100 ni juzi tu, Nigeria wanazalisha Barell zaidi ya milioni 1 kwa siku.

Na Mkuu gdp per capita Ya Nigeria ni mbovu even ukiweka factor ya population,

Archana na Nigeria, siku chache zilizopita Angola amekua wa kwanza Africa, Angola wapo wachache kuliko Saudia lakini pato la mtu mmoja mmoja Angola halifiki hata 10% ya Saudi Arabia (Angola ni chini ya $2000).

Na hizo nchi za kiarabu hazipo nyuma na uchapa kazi si Maendeleo, kumbuka wale maadui watatu aliowataja Nyerere

Ujinga, maradhi, umasikini.

Hizo nchi za Gulf ni matajiri ina maana umasikini hawana.

Literace rate ni kubwa even Nchi kama Palestine ambayo muda wote ina vita Literace rate ni asilimia 96

Afya wanayo na Huduma ni bure kabisa. Serikali inagharamia $300 kwa kila mwananchi kila mwaka huduma zote za Afya ni Bure.

So wewe unafikiri Maendeleo ni nini? Kipi ambacho kina wafanya wawe hawajaendelea?
 
Huyo aliyekufa ni mwandishi wa habari ambae aliandaliwa kwenda kufanya mahojiano mazuri na rais wa Iran na Ikulu ya rais ilipokea maelekezo toka kwa rais namna ya dressing code itakavyokuwa chakushangaza reporter alijitokeza tofauti na alivyoelekezwa. Rais aliondoka bila kuongea kitu na alipokuwa kwenye gari aliwafokea walinzi wake kwa kitendo kile cha kumwacha aonane na mwandishi huku wakijua anekiuka mavazi waliyokubaliana. Hapo ndipo askali wakapiga simu kwa walioachiwa protocol yote na ikawa imeisha hiyo kwa reporter. Nikiripoti toka Iran mm ni Frustration wa jf
 
Kuna imani nyingine za kidini ni za kishenzi hizi ni pamoja na zile zinazoshabikia mambo ya kishoga huko Ulaya.
 
Yes
20221002_154813.jpg
 
Back
Top Bottom