Forrest Gump
JF-Expert Member
- Jul 2, 2021
- 583
- 1,266
- Thread starter
- #21
Kiuhalisia mamlaka za middle east ukitoa israel ni za ovyo sana.
Mfano:
■Saud:
mali ya nchi nzima inamilikiwa na ukoo mmoja, mwananchi hapaswi kulalamika kuhusu matatizo ya nchi..hii inapelekea adhabu ya kifo kwa kuchinjwa. Mwanamke ndio amekuja kuanza kuendesha gari hivi karibuni.....
■Iran:
mamlaka inayotumia itikadi kali ya dini kuendesha nchi angali bado wao ni watu hatari sana katika usalama wa dunia. Wao ni mabingwa wa kulalamikia nchi za magharibu lakini wao hawako tayari kulalamikiwa na wananchi wao binafsi. Wanafadhili makundi ya
■Palestine:
Hamas wanajificha katika majumba ya wananchi kulusha makombora katika makazi ya wana israel, Israel ikirusha makombola katika maeneo waliyopo unakuta ni makazi ya watu kupelekea umauti na majeraha kwa raia wa pal, then baadae hamas wanakimbilia kusema Israel wanafanya genocide.
Mfano:
■Saud:
mali ya nchi nzima inamilikiwa na ukoo mmoja, mwananchi hapaswi kulalamika kuhusu matatizo ya nchi..hii inapelekea adhabu ya kifo kwa kuchinjwa. Mwanamke ndio amekuja kuanza kuendesha gari hivi karibuni.....
■Iran:
mamlaka inayotumia itikadi kali ya dini kuendesha nchi angali bado wao ni watu hatari sana katika usalama wa dunia. Wao ni mabingwa wa kulalamikia nchi za magharibu lakini wao hawako tayari kulalamikiwa na wananchi wao binafsi. Wanafadhili makundi ya
■Palestine:
Hamas wanajificha katika majumba ya wananchi kulusha makombora katika makazi ya wana israel, Israel ikirusha makombola katika maeneo waliyopo unakuta ni makazi ya watu kupelekea umauti na majeraha kwa raia wa pal, then baadae hamas wanakimbilia kusema Israel wanafanya genocide.