ehh wewe jaman vp?
kila kitu unapnga tu?
sasa ndo kusema aumwamin km kajiunga long au ni vp?
sio kila kitu ni cha magumash
ukisoma kwa macho mawili utasense kabsa uyu bwana ni mkweli na wala si adith
ehh wewe jaman vp?
kila kitu unapnga tu?
sasa ndo kusema aumwamin km kajiunga long au ni vp?
sio kila kitu ni cha magumash
ukisoma kwa macho mawili utasense kabsa uyu bwana ni mkweli na wala si adith
watanzania bado wabishi tu kama zamani kumbe
jela niaje?
dah lakin uko majuu asi fresh tu si km segerea..
pole
hw is ya family?
mkeo/galfrend umemkuta salama?( M SOR KM NTAKUBOA NA SWALI ILI)
pole na yote
yote maisha ili mrad uhai....
Hapana mkuu, Watanzania siku hizi ni wachochezi, na wanataka kuondoa amani na utulivu.
thanks , napa miss sana bongo.Pole sana brotha..na karibu sana bongo.
Pole sana, karibu tena tuendeleze gurudumu la maendeleo. Usikate tamaa, we omba Mungu anatenda Miujiza nafikri muujiza wa kwanza ni huo wa kutoka gerezani huna hatia.
Praise and worship, hakuna kinachoshindikana kwake. Staby blessed.
Karibu sana Kitanga na pole kwa yaliyokusibu! Yote maisha na maisha lazima yaendelee...
Hawa wakuu bado wapo wapo na muda siyo mrefu utawaona hapa JF
kwa nini? i hope sasa hivi mtakuwa na umeme wa nuklear na usafiri wa uhakika
Pole sana na yaliyokukuta Mkuu.
kwa nini? i hope sasa hivi mtakuwa na umeme wa nuklear na usafiri wa uhakika
Kuhusu swala la usafiri hilo tumeshafanikiwa na tumevuka malengo, sasa hivi kila kona ni vibajaj kwa kwenda mbele na pikipiki za mchina ( boda boda ). mpaka ambulance sasa hivi ni bajaj. na la zaidi Mvumbuzi wa dawa ya ukimwi anapatikana Tanzania na dawa imetoka kwa mungu. hatuhitaji tena condom. u just google loliondo utapata mambo yote.
you are dreaming. Nuklear in Tz? labda miujiza itokee.
aaa mzee bubu anataka kusema nakukumbuka sana na kama sikosei utakuwa umebadilisha avator yako , tuko pamoja mzee