Habari wana JF,nimefiwa na mtoto jana Muhimbili hospital.
Mazishi ni leo saa7 mchana,msiba upo banana ukonga!
Ngoja nifanye mazishi kisha kesho au keshokutwa ntafunguka kuhusu yaliyonipata muhimbili hospital jana usiku!!!!pole sana!chanzo ni nini? Au madaktar hawa...
Habari wana JF,nimefiwa na mtoto jana Muhimbili hospital.
Mazishi ni leo saa7 mchana,msiba upo banana ukonga!