hahahaha! Ulidanganywa aisee, labda nitakuwa huko baada ya miaka 7. Mmh! Parefu
moskwito bana. Hivi kuna andaeji katika masomo ya baiolojia ya uzazi? Mwendhio amegradyueti fom foo a.k.a mtoto wa nne kila mtoto na babaye tena bila kufanyiwa operesheni. STUKA!
Nimekusikia na nimefurahi sana!Nimekusapoti sijui umenisikia
Zile past papers mwachie King'asti ntazipitia kesho wakati naenda shule.... Ubaki salama na wewe swahiba!
Ha ha ha! Jamani sasa huyu mkweo divisheni wani ya saba katoka nayo wapi?...Niliachiwa past papers zenu zimefanya wateja niliowafungia nazo mihogo na bagia wamezirudisha! Yaani ni mashairi ya bongo fleva na mayai!
Sina hamu na mambumbumbu!
Mwenzenu nina furaha ya ajabu. Naombeni pongezi zenu. Hongera wanafunzi wenzangu wote mliofaulu. Nawatakia masomo mema.
Husn ! Congra !
Basi mi kuna shan'kupe mmoja aliniuma sikio akanambia unafanya kazi TRA , kumbe doo!
Mkoko ndiyo kwanza unaalika maua !
Niliachiwa past papers zenu zimefanya wateja niliowafungia nazo mihogo na bagia wamezirudisha! Yaani ni mashairi ya bongo fleva na mayai!
Sina hamu na mambumbumbu!