Mwenzenu nina furaha ya ajabu. Naombeni pongezi zenu. Hongera wanafunzi wenzangu wote mliofaulu. Nawatakia masomo mema.
Sasa hapa sijui niseme Hongera ama? Njoo nyumbani mi na antie wako, tutakufanyia kasherehe kafupi. Usialike vile vivulana vyako mlikuwa mnasoma wote. Mwambie na SL asikose. sawa eeh
tena ufanye haraka nimechoka kupost via mobile. Lol.
Za masiku? Nimekumisije.
ahsante, nielekeze ilipo.