Mie penda wewe sana, kumbe urafiki wetu hauishii shuleni eeh?
Urafiki wetu ni zaidi ya samaki na maji ati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie penda wewe sana, kumbe urafiki wetu hauishii shuleni eeh?
hahaha sikutegemea kuipata hii toka kwako ,umenifanya nijisikie kukumiss sana rafiki..hongera sana kwani ulikuwa unasoma ST Kayumba or?
Mwenye wivu na urafiki wetu na aje hapa aseme tumsagie chupa anywe!Urafiki wetu ni zaidi ya samaki na maji ati.
hahaha sikutegemea kuipata hii toka kwako ,umenifanya nijisikie kukumiss sana rafiki..hongera sana kwani ulikuwa unasoma ST Kayumba or?
Mwenye wivu na urafiki wetu na aje hapa aseme tumsagie chupa anywe!
mmh! Unachezea swtlady mrs klorokwini!
unacheka nini wakati wewe mwaka jana ulipata div 0!!!
Uje urisiti, utaachika bure.
hehehe! Shule ya kata imenitoa fl, tuition za mchikichini zimefanya pia zimesaidia mambo. Mi miss u pia.
tena nimejaribu ku resit mambo yamekuwa yaleyale kongosho,
Ila baba mkwe amenambia kufeli masomo sio kufeli maisha sasa najipanga upya kuwa machinga mtaani..
tutabanana huko huko
kloro iko toa veve bu.sha.
Hongera hata div iv ya point 32 umefaulu kwa mujibu wa serikaliMwenzenu nina furaha ya ajabu. Naombeni pongezi zenu. Hongera wanafunzi wenzangu wote mliofaulu. Nawatakia masomo mema.