donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Daah, hongereni sana Admins, nimejaribu kusaka vulnerabilities kwenye jamiiforums ila nimesanda.
Moderator watu wa ban si ndo hawa
Kwamba apewe kazi...!!Kwanini apewe ban mkuu?
Huyu itabidi apewe kazi jf
Mchawi mpe mtoto akulelee



Umenikumbusha mambo ya command...
cmd command enter
ping slash colon enter
mara paap mitambo inakaa sawa watu wanaendelea kufanya kazi, enzi hizi hukooo kapilimposhi na katumba kwa mwanagati.
Ila watu wa IT Tuko kama Kobe, ukiona kimya ujue tunatunga sheria tukiinua kichwa tushafanya mambo.
pambana tena mkuu urudie
Umenikumbusha mambo ya command...
cmd command enter
ping slash colon enter
mara paap mitambo inakaa sawa watu wanaendelea kufanya kazi, enzi hizi hukooo kapilimposhi na katumba kwa mwanagati.
Ila watu wa IT Tuko kama Kobe, ukiona kimya ujue tunatunga sheria tukiinua kichwa tushafanya mambo.
Shukrani mkuuBinafsi nakupongeza kwa usithubutu Mkuu,kazi nzuri.
duh! na wewe kumbe mwana IT
Kumbe pale ifmso uligonga ma IT mkuu?
Donn...McDonald.... Dawn....
Kuku wengi, mchele kidogo, acha tuupikie pishi....

Kwanini apewe ban mkuu?
Huyu itabidi apewe kazi jf
Mchawi mpe mtoto akulelee
Nifundishe python mama kasindeUmenikumbusha mambo ya command...
cmd command enter
ping slash colon enter
mara paap mitambo inakaa sawa watu wanaendelea kufanya kazi, enzi hizi hukooo kapilimposhi na katumba kwa mwanagati.
Ila watu wa IT Tuko kama Kobe, ukiona kimya ujue tunatunga sheria tukiinua kichwa tushafanya mambo.