TobaaaHata nyie wanaume wasenge mara mbili yetu hamna maana ninyi
Dah!shangazi dah mwambie shangazi jane afuatilieYalalalal dah jamani kuna hii system ya Ku scan code za mtumia WhatsApp ili meseji atakokuwa anapokea zinakuja kwako,
Ni application unaiweka Kwa simu na unaificha sasa nimeweka ya mke wangu kwamba nitakaposafiri nijue kinachoendelea nyuma , jamani kuna mtu nanchukulia kama ndugu wa damu kumbe ndo anamchukua mke wangu na wanapanga mengi nikisafiri,
Mke wangu hajui kama nimeshagundua, wala Yule rafiki hajajua, na jumatatu kuna safari ya kikazi muhim mno,
Hapa nawaza sijui nimwambie boss naumwa mke wangu asijue kama nimeairiaha ili jumatatu nijifanye nimesafiri ili niwafumanie??
Sijui nimwambie sasa hivi make wangu kwamba nimegundua mchezo huo?
Sijui nimwambie boss wangu Hali hii??
Nimechanganyikiwa kabisa
Application hii inaendana na Ile ya kwenye web, lakin hii iko playstore, unaiweka unachukua simu ya unayataka kumdukua, unascan code ,alafu inajiweka kwenye wall yako, Ila ukiiacha hapo atagundua, ina option ya kuificha ndani
View attachment 689337
Pole sana. Cheki DNA watoto unaweza kukuta si wakoYalalalal dah jamani kuna hii system ya Ku scan code za mtumia WhatsApp ili meseji atakokuwa anapokea zinakuja kwako,
Ni application unaiweka Kwa simu na unaificha sasa nimeweka ya mke wangu kwamba nitakaposafiri nijue kinachoendelea nyuma , jamani kuna mtu nanchukulia kama ndugu wa damu kumbe ndo anamchukua mke wangu na wanapanga mengi nikisafiri,
Mke wangu hajui kama nimeshagundua, wala Yule rafiki hajajua, na jumatatu kuna safari ya kikazi muhim mno,
Hapa nawaza sijui nimwambie boss naumwa mke wangu asijue kama nimeairiaha ili jumatatu nijifanye nimesafiri ili niwafumanie??
Sijui nimwambie sasa hivi make wangu kwamba nimegundua mchezo huo?
Sijui nimwambie boss wangu Hali hii??
Nimechanganyikiwa kabisa
Application hii inaendana na Ile ya kwenye web, lakin hii iko playstore, unaiweka unachukua simu ya unayataka kumdukua, unascan code ,alafu inajiweka kwenye wall yako, Ila ukiiacha hapo atagundua, ina option ya kuificha ndani
View attachment 689337
Naweza kusema mkeo mtindu sana.we nenda kazin tuu,najua hutaifanya hiyo kazi kwa ufanisi lkn huna namna nenda kazin tuuYalalalal dah jamani kuna hii system ya Ku scan code za mtumia WhatsApp ili meseji atakokuwa anapokea zinakuja kwako,
Ni application unaiweka Kwa simu na unaificha sasa nimeweka ya mke wangu kwamba nitakaposafiri nijue kinachoendelea nyuma , jamani kuna mtu nanchukulia kama ndugu wa damu kumbe ndo anamchukua mke wangu na wanapanga mengi nikisafiri,
Mke wangu hajui kama nimeshagundua, wala Yule rafiki hajajua, na jumatatu kuna safari ya kikazi muhim mno,
Hapa nawaza sijui nimwambie boss naumwa mke wangu asijue kama nimeairiaha ili jumatatu nijifanye nimesafiri ili niwafumanie??
Sijui nimwambie sasa hivi make wangu kwamba nimegundua mchezo huo?
Sijui nimwambie boss wangu Hali hii??
Nimechanganyikiwa kabisa
Application hii inaendana na Ile ya kwenye web, lakin hii iko playstore, unaiweka unachukua simu ya unayataka kumdukua, unascan code ,alafu inajiweka kwenye wall yako, Ila ukiiacha hapo atagundua, ina option ya kuificha ndani
View attachment 689337
Bora waachane.kama ni kweli, nakupa pole, najua utakuwa unapata maumivu makubwa sana...lakini unatakiwa kuchukua hatua mbaya kama wewe haujawahi kumsaliti...kama wewe ni mtakatifu basi uwe wa kwanza kurusha jiwe, ila kama sio mtakatifu na mmezaa watoto....ignore tu, cha muhimu chukua izo msg kamwonyeshe uone atafanya nini afu mwache wala usimdhuru.
Ushauri wa kijinga sana huukama ni kweli, nakupa pole, najua utakuwa unapata maumivu makubwa sana...lakini unatakiwa kuchukua hatua mbaya kama wewe haujawahi kumsaliti...kama wewe ni mtakatifu basi uwe wa kwanza kurusha jiwe, ila kama sio mtakatifu na mmezaa watoto....ignore tu, cha muhimu chukua izo msg kamwonyeshe uone atafanya nini afu mwache wala usimdhuru.
Ww kweli mrombo aisee maana si kwa pumba hiziKwanini unataka kujipa mateso ya moyo kihasi icho we uko unaposafiri hauna mchepuko,makosa tufanye sisi akifanya mwanamke dhambi
Gegedana FC.Serikali Ya Viwanda
Yaani Jamaa Wametengeza Kiwanda Utakaposafiri Kianze Uzalishaji
Presha mpya.Pole sana. Cheki DNA watoto unaweza kukuta si wako