Nimedukua mawasiliano ya mke wangu kwa WhatsApp code, aisee anapanga makubwa kunisaliti nitakaposafiri

Hio misimamo ni vichwani mwenu...hali halisi ni kama mtoa mada anavyoeleza...
Huo ndo ukweli we mwanamke chepuka mkeo akukamate uone kama kuna ndoa.......ila mwanaume ukimkamata amechepuka utaongea tu baadae maisha yanaendelea na anaweza kumuoa kabisa mkafika wawili.......hebu jaribu wewe uko ndani ya ndoa harafu uolewe na mume mwingine ufikishe wawili uone!!
 
Huo ndo ukweli we mwanamke chepuka mkeo akukamate uone kama kuna ndoa.......ila mwanaume ukimkamata amechepuka utaongea tu baadae maisha yanaendelea na anaweza kumuoa kabisa mkafika wawili.......hebu jaribu wewe uko ndani ya ndoa harafu uolewe na mume mwingine ufikishe wawili uone!!
Utafanya ufanyavyo ila ushachapiwa na hio ni siri ya ndani...unadhani ndoa zote zinazodumu wanawake ni waaminifu??.
 
Hivi inakuaje mwanamke anapanga kukusaliti kwann askwambie tu amechoka kua na ww ili akafanye kwa uhuru kulko kwa kunfcha ficha inaboa saana unaeza ukakata mtu shingo
 
whatsapp wataua watu hii mambo ya kuruhusu namba hiyo hiyo kuduplicate ukiinstall whatsapp kwenye computer una simu ya huyo mhusika ukiscan barcode inaleta data zake zote itabd tuwaombe whatsapp hii sio nzuri itaua ndoa nyingi sana
Mkuu unafanyaje hii ili kudukua sms mkuu mfano una smartphone mbili yangu na ya muhusika naetaka kumdukua unafanyaje
 
Mwenyezi Mungu alituficha tusijue tunayofikiriwa na jirani zetu for the purpose, ukijifanya FBI, CIA jifunze na kunywa maji mengi pia.
 
Maelelekezo ya kutumia WhatsApp web.

VIFAA (Mahitaji)

Laptop au computer yoyote inayoweza pata internet kwa modem au Tethering hotspot ya simu yaani kwa wireless access

MAELEKEZO (Namna ya kufanya)

Kwenye Search Engine katika kifaa chako yaani laptop au computer desktop ambayo tayari imewezeshwa Internet search Neno WhatsAPP web kwenye Google search au search Engine yoyote, ukipata neno WhatsAPP web, click ikifungua itaonesha kitu kama QR code iache hapo

Chukua simu unayotaka ku hack nenda kwenye setting tu kulia baada ya kufungua whatsapp kwenye simu
Kwenye ile setting chagua sehemu imeandikwa WhatsAPP web bofya itafunguka QR code reader, elekeza ile QR code reader ya simu yako kwenye ile QR code inayoonekana kwenye Computer yako, linganisha vizuri ili QR code reader ya simu yako isome vizuri ile QR code ya computer yako ikifanikiwa kusoma vizuri simu yako itavibrate kuonesha kuwa imesoma ile QR code ya kwenye computer. baada ya hapo utaona WhatsAPP yako imehamia kwenye computer. hapo utakuwa umefanikiwa zoezi hili.
Mimi siyo mtalaam wa IT so nimeeleza kikawaida kwa vile ninavyoelewa, tusameane kwa hilo

Angalizo;
Fanya haya for your own risk sitahusika kwa chochote
Kwan lazma uwe na laptop mkuu simu haiwez ?
 
Kwa hiyo bora amletee homa ya Ini na Ngoma kirahisi hivyo

Simu ya mtu mzima sio ya kushika,utakufa siku si zako!

Achana nayo.

Labda umshike katika hali ya wazi sana.

Hii kushika simu,kumtafuta mtu namna hiyo ungefanya kipindi mpo kwenye uchumba ili uwe na uwezo wa kupiga chini kirahisi.Ila ukishaoa sio rahisi kiivyo,it becomes too complicated!

Ukishaoa mzee,kubali matokeo tu,usishike chochote,utakufa,utamuacha,watoto wako watalelewa kibwege wakati wewe haupo,yote hii ya nini?

Hii dunia ni very complicated,kitakachoniua sikifati kabisa.Najua simu,whatsApp,FB,Insta,etc zitaniua,sifati ng'ooo!
 
Asubuhi utakayokuwa unasafiri mwambie mkeo umejua na pia mpigie jamaa yako kwamba Unajua kinachoendelea. Then nenda Kapige kazi japo inauma ila Linda kazi maana mke keshakuwa mshenzi
Ushauri mzuri jooo!
 
Kama ni safaro ya pesa, achana nae fata hzo pesa kwa mana k yake ipo tu..na isitoshe imeshaliwa sana. Pole boss
 
Pole sana mkuu,. Mambo ya kawaida hayo kwa ndoa za siku hizi.
Mambo ya kawaida ???? Inaelekea wewe unapigiwa sanaa na umeshayazoea na unajifanya kama hamna jitu huo unaitwa "ukhanithi" au kwa neno jibgine ni "duyuthi" ni kama wewe
 
Back
Top Bottom