Samweli Mathayo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 1,577
- 1,700
Yalalalal dah jamani kuna hii system ya Ku scan code za mtumia WhatsApp ili meseji atakokuwa anapokea zinakuja kwako,
Ni application unaiweka Kwa simu na unaificha sasa nimeweka ya mke wangu kwamba nitakaposafiri nijue kinachoendelea nyuma , jamani kuna mtu nanchukulia kama ndugu wa damu kumbe ndo anamchukua mke wangu na wanapanga mengi nikisafiri,
Mke wangu hajui kama nimeshagundua, wala yule rafiki hajajua, na jumatatu kuna safari ya kikazi muhim mno,
Hapa nawaza sijui nimwambie boss naumwa mke wangu asijue kama nimehairisha ili jumatatu nijifanye nimesafiri ili niwafumanie?
Sijui nimwambie sasa hivi make wangu kwamba nimegundua mchezo huo? Sijui nimwambie boss wangu hali hii nimechanganyikiwa kabisa.
Application hii inaendana na Ile ya kwenye web, lakini hii iko playstore, unaiweka unachukua simu ya unayataka kumdukua, unascan code ,alafu inajiweka kwenye wall yako, ila ukiiacha hapo atagundua, ina option ya kuificha ndani
UPDATED
Nimeshafumania mtu
Mrejesho: Fumanizi lilivyofanyika na nina ya kusema hapa
Ni application unaiweka Kwa simu na unaificha sasa nimeweka ya mke wangu kwamba nitakaposafiri nijue kinachoendelea nyuma , jamani kuna mtu nanchukulia kama ndugu wa damu kumbe ndo anamchukua mke wangu na wanapanga mengi nikisafiri,
Mke wangu hajui kama nimeshagundua, wala yule rafiki hajajua, na jumatatu kuna safari ya kikazi muhim mno,
Hapa nawaza sijui nimwambie boss naumwa mke wangu asijue kama nimehairisha ili jumatatu nijifanye nimesafiri ili niwafumanie?
Sijui nimwambie sasa hivi make wangu kwamba nimegundua mchezo huo? Sijui nimwambie boss wangu hali hii nimechanganyikiwa kabisa.
Application hii inaendana na Ile ya kwenye web, lakini hii iko playstore, unaiweka unachukua simu ya unayataka kumdukua, unascan code ,alafu inajiweka kwenye wall yako, ila ukiiacha hapo atagundua, ina option ya kuificha ndani
UPDATED
Nimeshafumania mtu
Mrejesho: Fumanizi lilivyofanyika na nina ya kusema hapa