Samweli Mathayo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 1,577
- 1,700
- Thread starter
- #561
WHii App inaitwaje....??
WHii App inaitwaje....??
inategemea na mrejesho. kuna kufumania ukakungutwa wewe na kuvuliwa nguo! tusisahau hakuna jinai ya kufumania. huko ni kuingilia starehe za watu. njia sahihi ni kufukuza ukaanza upya. kosa hapo si kukusaliti bali kosa la msingi ni kushindwa kuficha usalitiUkiwafuma ulete mrejesho hapa
Huyu mwanamke watakuwa ni mwanaccm tuYalalalal dah jamani kuna hii system ya Ku scan code za mtumia WhatsApp ili meseji atakokuwa anapokea zinakuja kwako,
Ni application unaiweka Kwa simu na unaificha sasa nimeweka ya mke wangu kwamba nitakaposafiri nijue kinachoendelea nyuma , jamani kuna mtu nanchukulia kama ndugu wa damu kumbe ndo anamchukua mke wangu na wanapanga mengi nikisafiri,
Mke wangu hajui kama nimeshagundua, wala yule rafiki hajajua, na jumatatu kuna safari ya kikazi muhim mno,
Hapa nawaza sijui nimwambie boss naumwa mke wangu asijue kama nimehairisha ili jumatatu nijifanye nimesafiri ili niwafumanie?
Sijui nimwambie sasa hivi make wangu kwamba nimegundua mchezo huo? Sijui nimwambie boss wangu hali hii nimechanganyikiwa kabisa.
Application hii inaendana na Ile ya kwenye web, lakini hii iko playstore, unaiweka unachukua simu ya unayataka kumdukua, unascan code ,alafu inajiweka kwenye wall yako, ila ukiiacha hapo atagundua, ina option ya kuificha ndani
UPDATED
Nimeshafumania mtu
Mrejesho: Fumanizi lilivyofanyika na nina ya kusema hapa
Uonevu huu
Pole sana mkuu, mambo ya kawaida hayo kwa ndoa za siku hizi.
Umekazana kusema ni app lkn hutaji jina, c useme jina la app sasaNi application mkuu ni application niliyotumia, Una option ya kuificha isiwe visible kwenye simu yako juu,
Hii mbona whatsap ya kawaida mkuu sio clone whatsapYalalalal dah jamani kuna hii system ya Ku scan code za mtumia WhatsApp ili meseji atakokuwa anapokea zinakuja kwako,
Ni application unaiweka Kwa simu na unaificha sasa nimeweka ya mke wangu kwamba nitakaposafiri nijue kinachoendelea nyuma , jamani kuna mtu nanchukulia kama ndugu wa damu kumbe ndo anamchukua mke wangu na wanapanga mengi nikisafiri,
Mke wangu hajui kama nimeshagundua, wala yule rafiki hajajua, na jumatatu kuna safari ya kikazi muhim mno,
Hapa nawaza sijui nimwambie boss naumwa mke wangu asijue kama nimehairisha ili jumatatu nijifanye nimesafiri ili niwafumanie?
Sijui nimwambie sasa hivi make wangu kwamba nimegundua mchezo huo? Sijui nimwambie boss wangu hali hii nimechanganyikiwa kabisa.
Application hii inaendana na Ile ya kwenye web, lakini hii iko playstore, unaiweka unachukua simu ya unayataka kumdukua, unascan code ,alafu inajiweka kwenye wall yako, ila ukiiacha hapo atagundua, ina option ya kuificha ndani
UPDATED
Nimeshafumania mtu
Mrejesho: Fumanizi lilivyofanyika na nina ya kusema hapa