Nimedukua mawasiliano ya mke wangu kwa WhatsApp code, aisee anapanga makubwa kunisaliti nitakaposafiri

Code IPI ? Kwenye cm

Kwenye whatsapp kuna kitu kinaitwa whatsapp web...hyo inakuwezesha kuaccess whatsapp kwa kutumia computer, ni kama vp unavyoscan barcode znge yaan unakutanisha Pc na simu ndio mambo yanakubal.
2fdadca8439aad974a90f71ea21cdbcd.jpg
 
Hakuna App inayoweza kuona msg za wasup za mtu mwingine...

Nasisitiza tena HAIPO...

Hii ni mbinu ya kutaka kutapeli watu tu hapa....!
Ipo. Usibishe. Umahitaji smartphone ya mlengwa, uwe na computer na internet! Kwisha
 
Yalalalal dah jamani kuna hii system ya Ku scan code za mtumia WhatsApp ili meseji atakokuwa anapokea zinakuja kwako,

Ni application unaiweka Kwa simu na unaificha sasa nimeweka ya mke wangu kwamba nitakaposafiri nijue kinachoendelea nyuma , jamani kuna mtu nanchukulia kama ndugu wa damu kumbe ndo anamchukua mke wangu na wanapanga mengi nikisafiri,

Mke wangu hajui kama nimeshagundua, wala Yule rafiki hajajua, na jumatatu kuna safari ya kikazi muhim mno,

Hapa nawaza sijui nimwambie boss naumwa mke wangu asijue kama nimeairiaha ili jumatatu nijifanye nimesafiri ili niwafumanie??

Sijui nimwambie sasa hivi make wangu kwamba nimegundua mchezo huo?

Sijui nimwambie boss wangu Hali hii??

Nimechanganyikiwa kabisa

Application hii inaendana na Ile ya kwenye web, lakin hii iko playstore, unaiweka unachukua simu ya unayataka kumdukua, unascan code ,alafu inajiweka kwenye wall yako, Ila ukiiacha hapo atagundua, ina option ya kuificha ndani


View attachment 689337
Pole Mkuu!!! Wanatongozwaga sana tu hao. Sidhani kama kati ya 10 hawawezi nyimwa wote.La msingi tu zungumza na mwenzio tu,muyaweke sawa
 
Tafuta jamaa zako 2 mwite jamaa, mpe KARIPIO KALI. usimpige Bali mwonye kiume mbele ya watu 2.
Mkeo pia mwonye mkiwa na Mshenga wa ndoa (kama mlifunga ndoa)
Kama hayupo mwonye mbele ya mamake mzazi au mlezi, kama yupo mbali ukishamwonya jamaa we nenda kapige kazi kwanza ukirudi ndo ushughulike nae.
 
Mkuu ficha ujinga wako chumbani sio kibarazani.
Unless hujui tafsiri ya neno Hack...

Huwezi kuchukua simu ya mtu ukaiscan na wasup web alafu useme ume hack simu yake...

Iyo ni sawa na kuchukua kadi ya bank ya mtu unae mfahamu na unajua passwor yake ukaenda kumuibia hela kisha ukarudisha kadi yake alafu ukatoka unajigamba umemuibia mtu hela wa njia ya mtandao...!
 
Inawezekana hata baadhi ya watoto si wako. Kabla ya mipango yako ya fumanizi au mingine yoyote, uwe umeishaamua katika nafsi yako kama unamuacha mkeo au unaendelea nae. Baada ya mpango huo uendelea na mipango mingine ya fumanizi not otherwise.
 
Yalalalal dah jamani kuna hii system ya Ku scan code za mtumia WhatsApp ili meseji atakokuwa anapokea zinakuja kwako,

Ni application unaiweka Kwa simu na unaificha sasa nimeweka ya mke wangu kwamba nitakaposafiri nijue kinachoendelea nyuma , jamani kuna mtu nanchukulia kama ndugu wa damu kumbe ndo anamchukua mke wangu na wanapanga mengi nikisafiri,

Mke wangu hajui kama nimeshagundua, wala Yule rafiki hajajua, na jumatatu kuna safari ya kikazi muhim mno,

Hapa nawaza sijui nimwambie boss naumwa mke wangu asijue kama nimeairiaha ili jumatatu nijifanye nimesafiri ili niwafumanie??

Sijui nimwambie sasa hivi make wangu kwamba nimegundua mchezo huo?

Sijui nimwambie boss wangu Hali hii??

Nimechanganyikiwa kabisa

Application hii inaendana na Ile ya kwenye web, lakin hii iko playstore, unaiweka unachukua simu ya unayataka kumdukua, unascan code ,alafu inajiweka kwenye wall yako, Ila ukiiacha hapo atagundua, ina option ya kuificha ndani


View attachment 689337
Kabla ya safari kaa nae mweleze kwa upole kabisa kama umegundua huo mchezo na akibisha muoneshe sms kama ushahidi, hii itakuwa ni sababu ya kuacha alichokuwa anafikiria kufanya kama ana khofu na mungu na anaipenda ndoa yake.
 
Application inaitwaje jmn

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Fanya hivi:
Mahitaji: computer yenye net na smartphone ya mlengwa wako!

Hatua:
1. Ktk simu ya mlengwa washa data, ingia whatsapp!

2. Ukiwa whatsapp, kona ya juu kulia, pree zile buttons!

3. Zitafunguka MENU nyingi, mojawapo ni WHATSAPP WEB!

4. Click hiyo whatsapp web. Itakuwashia camera!

Turudi kule ktk computer!

1. Ktk browser type web.whatsapp. com

2. Itakuletea menu zinaonyesha devices, chagua Simu.

3. Ile camera iliofunguliwa na whatsapp kule ktk simu, njoo sasa uiscan (unalengesha kama unataka kuipiga picha ile barcode ya web.whatsapp.com)

4. Huko ndio kuscan barcode na baada ya hapo whatsapp chats za huyo mtu utaziona ktk computer.

Ili uweze kumdukua, lazima awe online na wewe huku Pc yako iwe na internet.

Ukitaka kufaidi, hakikisha unajua kuchukua screen shot kwa kutumia Pc! Utafaidi!
 
Yalalalal dah jamani kuna hii system ya Ku scan code za mtumia WhatsApp ili meseji atakokuwa anapokea zinakuja kwako,

Ni application unaiweka Kwa simu na unaificha sasa nimeweka ya mke wangu kwamba nitakaposafiri nijue kinachoendelea nyuma , jamani kuna mtu nanchukulia kama ndugu wa damu kumbe ndo anamchukua mke wangu na wanapanga mengi nikisafiri,

Mke wangu hajui kama nimeshagundua, wala Yule rafiki hajajua, na jumatatu kuna safari ya kikazi muhim mno,

Hapa nawaza sijui nimwambie boss naumwa mke wangu asijue kama nimeairiaha ili jumatatu nijifanye nimesafiri ili niwafumanie??

Sijui nimwambie sasa hivi make wangu kwamba nimegundua mchezo huo?

Sijui nimwambie boss wangu Hali hii??

Nimechanganyikiwa kabisa

Application hii inaendana na Ile ya kwenye web, lakin hii iko playstore, unaiweka unachukua simu ya unayataka kumdukua, unascan code ,alafu inajiweka kwenye wall yako, Ila ukiiacha hapo atagundua, ina option ya kuificha ndani


View attachment 689337
Ni hatari sana, ndo maana hii duniaya sasa ina laana sana
 
Back
Top Bottom