Benokolongokonongose
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 213
- 52
Habirini za jioni.
Mimi ni mjasiriamali ambaye kazi zangu za kutafuta zinanifanya kuzunguka sana vijijini. Nyumbani mara nyingi napatikana jumanne na alhamisi tu. Tunaishi na mdogo wangu. Leo jirani yangu amenidokeza kuwa nichunguze kwa makini kwani mdogo wangu anatembea na shemeji yake. Naomba msaada kwani nimechanganyikiwa na hata sielewi nianzaje kuchunguza swala hili.
Hivi kwa akili ya kawaida mtu unathubutuje kumfanya shemeji yako?Dunia hii! Wenu BENOKOLONGOKONONGOSE
Mimi ni mjasiriamali ambaye kazi zangu za kutafuta zinanifanya kuzunguka sana vijijini. Nyumbani mara nyingi napatikana jumanne na alhamisi tu. Tunaishi na mdogo wangu. Leo jirani yangu amenidokeza kuwa nichunguze kwa makini kwani mdogo wangu anatembea na shemeji yake. Naomba msaada kwani nimechanganyikiwa na hata sielewi nianzaje kuchunguza swala hili.
Hivi kwa akili ya kawaida mtu unathubutuje kumfanya shemeji yako?Dunia hii! Wenu BENOKOLONGOKONONGOSE