inspector laddy
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 761
- 258
Mi mdogo wngu aje kwangu nikiwepo,kama cpo atulie kwao,akuuu
Muite Jirani aliekuambia, Muite na huyo Mtuhumiwa na Mumeo....kaaa nao muulizane
looh MDOGO WAKO KAANZA KUBADILIKA??
kama ndio yaweza kawa kweli
MRUDISHE KILEJI
1. Mkuu kwa hizo siku mbili huwa nahakikisha anatosheka. Na mwenyewe anasema anatosheka sana tena sana na anakiri zaidi ya sana.
2. Mgogoro sina kabisa na huwa najitahidi kumwambia kama namkwaza popote anijuze.
Ila wanaume naona ni waroho sio kwamba hawatosheki. Hali hiyo imekuwa dudu ya nyama ingekuwa ya chuma sijui ingekuwaje!
mkuhu pole sanah.
hunatakiwa huhangalihe kwa huzuri sanah time hingine wanahongeha
huhongo, hope humenihelewa mkuhu.
hahahhahhahaaa hii dawa niliitumia week kadhaa zilizopita, kila siku Housegirl anakuja na jipya, Wife nae anamsikiliza HG kila siku ni kesi mara mtoto kafanya vile, mara baba (MIMI) kaniambia nisimtume mtoto, sijui nini mara vile.....yaani unarudi umechoka halafu unakutana na kero kwa kwenda mbele.hii ndio dawa....
Mumeo sio yule aliyepost mwez km mmoja uliopita kwamba mkewe anasafir sana nyumban anabaki na shemejiye tu afanyeje?
mkuhu pole sanah. hunatakiwa huhangalihe kwa huzuri sanah time hingine wanahongeha huhongo, hope humenihelewa mkuhu.