Nimedhalilika ...

Wanasemaga wapenzi hawashauriwagi eti rafiki na yote ni kwa ajili ya vitu kama hivyo.

We unajipinda kumshauri mtu kumbe saa hiyo amekuitikia sababu alikuwa na hasira , zikiisha anarudi wanatakana radhi mambo yanaendelea.

Pole rafiki.
Yaani,.
Mbona nimekoma
 
Kwakweli mambo Yao ni ya kuwaachia wenyewe
 
Sasa wazee/wanaume huwa hatushauri kuvunja ndoa.

Siku nyingine msikilize, kisha muulize moyo wake unamwambia nini? Mwambie avumilie au afuate moyo wake.
Kwanza saizi sitaki kuambiwa na mtu nimshauri kuhusu mapenzi
 
🤣🤣🤣🤣 ndio ukome!

Mapenzi hayanaga ushauri wewe, mie yalinikuta ila nikakataa unyonge, nami nikawachamba.
 
Inaumiza sana aisee,.
Asa ukizingatia ulifanya Kwa roho Safi
 
Mbona wameachana Tena 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…