Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Bisahanga,hawa bado ni wapenzi tu na wanaweza kumwagana wakati wowote,...'acha ujinga,utahongaje mwanaume?'....what a question?hivyo mme kumpa mke ni halali,vice versa haram,haya bana kina mama nawatakia kila la kheri katika mapambano ya gender equality!
Angekuwa ndio mumewe sawa hilo linakubalika kbs,
Hata ni mie changu ni chetu wote na atakayekuwa amenioa kwan tutakuwa ni mwili mmoja,
Ila kwa hawa watumiaji wala hamjanishawishi kbs,tena kwa kivulana km hiki hata mia yangu hapati NG'O