Aaah wapi!Zinachomwa begani!
Nakuja unichome.Mi hapa ufipa akija mdada lazima ntamchoma matakoni...
Hata wakiume pia hvo hvo...
Hilo bega lake akae nalo
Uko wapAaah wapi!
Coo Kipenzi..Jithidi Ukachome Tetenus..Madhara Yake Huwezi Yaona Leo Au Kesho Kwa Maana Inaenea Mwilini Kama Kansa Mdogomdogo,,Baada Ya Miaka Kadhaa Ndio Inaanza Kuleta KizazaaAsante, nmepata huduma ya kwanza ya jadi, kesho naamkiapo maana. Maumivu n makali kajasho kananitoka
Sasa kumbe!!!Aaah wapi!
Unazingua sanaaaaNipo na Mbaga Jr hapa vp Kwan!
Njoo DIVISHENI FOOUnazingua sanaaaa
😋😋😋😋😋 Matakoni...?Nakuja unichome.
Ni bure kwa hospitali za serikali ila ukienda private hata kesho haizidi 1000Pole
Nenda katika hosptali inayotoa hiyo huduma .
Mara nyingi hizo sindano moja huwa haizidi 2000-5000.
Sehemu ya kuchoma huwa ni begani hasa hasa Ila hilo lisikutishe
Pole