Nimechomwa na msumari mguuni

Nimechomwa na msumari mguuni

Mumlii

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2021
Posts
266
Reaction score
362
Habari, hv zle sindano sjui za tetanus, huwa znachomwa eneo la kidonda ama kwa tako ili nijiandae, maana mm n muoga wa sindano. Na yamenkuta leo, na huwa n bure hospitali??
 
Habari, hv zle sindano sjui za tetanus, huwa znachomwa eneo la kidonda ama kwa tako ili nijiandae, maana mm n muoga wa sindano. Na yamenkuta leo, na huwa n bure hospitali??

Madhara ya peku peku yapo kila mahali

Kidding!
 
Subiri wiki mbili kisha muone daktari.
Akili itakukaa sawa na sidhani kama utaigopa tena sindano.
Wenzio tunasota hospital muda huu na kuona sindano ni jambo la kawaida wewe unaogopa!
 
Back
Top Bottom