Midazolam
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 806
- 1,336
Jamani ndugu zangu , naamini mko salama
Nasema nimechoka, hivi nyie hawa wanawake mnaishi nao kivipi mi nimeshindwa ,
Wao watakutafuta tu kipindi amekwama anataka ela, ukishampa hana habari na wewe tena ukimpigia simu itaiita weeeeee, hapokei, mara nipo kazini kwani sisi hatuna kazi mbona na sisi hizo kazi tunazifanya ila tunskuwa na mda pia wa kupunzika.
Akikukosea wala usikii anaomba msamaha, ukimtukana analia na kuzimia sasa haya maisha gani haya.
Sasa, sasa nasema nimechoka, mapenzi ya aina hiyo siwezi, ni bora nimtafute mwanamke kutoka kijijini kwetu huko nioe niweke ndani nimtafutie biashara afanye hata duka nimfungulie,
Duka ya nafaka mbona inalippa tu vizuri, ya nn nihangaike na kenge , ambaye akiwa na shida ndo atakutafuta ukimwambia sina ela kwa sasa, au subiri kesho nitakupa anaona kama unamnyima,
Mpaka najiuliza yeye ela zake anapeleka wapi wakati hata wazazi hana hakuna anayemuomba ela, kila mtu abaki na ela zake .
Mlio oa hawa makamanda hongereni mi hapana, na uzuri mwanamke nimeshampata tena amenitafutia mama acha nimsikilize mama naye roho yake itulie maana kelele naona ameanza sasa kwa nn nisimfurahishe mama.
Nimekuacha kamanda sitaki pasua kichwa tena
Nasema nimechoka, hivi nyie hawa wanawake mnaishi nao kivipi mi nimeshindwa ,
Wao watakutafuta tu kipindi amekwama anataka ela, ukishampa hana habari na wewe tena ukimpigia simu itaiita weeeeee, hapokei, mara nipo kazini kwani sisi hatuna kazi mbona na sisi hizo kazi tunazifanya ila tunskuwa na mda pia wa kupunzika.
Akikukosea wala usikii anaomba msamaha, ukimtukana analia na kuzimia sasa haya maisha gani haya.
Sasa, sasa nasema nimechoka, mapenzi ya aina hiyo siwezi, ni bora nimtafute mwanamke kutoka kijijini kwetu huko nioe niweke ndani nimtafutie biashara afanye hata duka nimfungulie,
Duka ya nafaka mbona inalippa tu vizuri, ya nn nihangaike na kenge , ambaye akiwa na shida ndo atakutafuta ukimwambia sina ela kwa sasa, au subiri kesho nitakupa anaona kama unamnyima,
Mpaka najiuliza yeye ela zake anapeleka wapi wakati hata wazazi hana hakuna anayemuomba ela, kila mtu abaki na ela zake .
Mlio oa hawa makamanda hongereni mi hapana, na uzuri mwanamke nimeshampata tena amenitafutia mama acha nimsikilize mama naye roho yake itulie maana kelele naona ameanza sasa kwa nn nisimfurahishe mama.
Nimekuacha kamanda sitaki pasua kichwa tena