SYENDEKE
Senior Member
- Jul 18, 2011
- 169
- 26
dah, kumbe sometime mazoea yana tabu eeh... yan nshachoka kulala na jeans. mnoneke wanajamvi!
duhuuuuuuuuuuuuuu utabakwa na wachawi ukiwa na bikini bora kitu cha jeans
dah, kumbe sometime mazoea yana tabu eeh... yan nshachoka kulala na jeans. mnoneke wanajamvi!
duhuuuuuuuuuuuuuu utabakwa na wachawi ukiwa na bikini bora kitu cha jeans
mmmh hii yako kali mama mi kanga moko ndembendembe
Sasa si umeona umevua jeans tu mambo yako yakatulia? Hata ukitaka kuvua ile ya kwanza kuvaa na ya mwisho kuvua uwe unauliza hapa na siyo unalala nazo bila kuambiwa. Lala slm.
Uko cngle basi ukinikubali mimi ntakujengea gorofa kariakoo na nyumba ya kulala posta
dah, kumbe sometime mazoea yana tabu eeh... yan nshachoka kulala na jeans. mnoneke wanajamvi!
dah, kumbe sometime mazoea yana tabu eeh... yan nshachoka kulala na jeans. mnoneke wanajamvi!
naomba nifunguke mana weng nahc hawajanielewa. nnaposema "nimechoka kulala na jeans" namaanisha nimechoka na upweke. co kwmb nimechoka kulala nikiwa nimevaa nguo!
naomba nifunguke mana weng nahc hawajanielewa. nnaposema "nimechoka kulala na jeans" namaanisha nimechoka na upweke. co kwmb nimechoka kulala nikiwa nimevaa nguo!
Loy,nawe pia hujanielewa ama?
Ni pm nije from leo jion kukupa changamoto ya mikwaju ya penelti