kila siku nagombana na wanaume hakuna mwanaume ninaekaa nae muda mrefu Yan nashikwa na hasira za mara kwa mara nikifanya mapenzi siinjoy kabisa mpaka mpz wangu amechokaMhuu nasikiaga na unaweza usioe maisha. Kama hukatafuta ufumbuzi wa hilo.
Pole sana
kila siku nagombana na wanaume hakuna mwanaume ninaekaa nae muda mrefu Yan nashikwa na hasira za mara kwa mara nikifanya mapenzi siinjoy kabisa mpaka mpz wangu amechokaMhuu nasikiaga na unaweza usioe maisha. Kama hukatafuta ufumbuzi wa hilo.
Pole sana
pole sana labda huwa unawaza wanawake wenzako
Pole tafuta ufumbuzikila siku nagombana na wanaume hakuna mwanaume ninaekaa nae muda mrefu Yan nashikwa na hasira za mara kwa mara nikifanya mapenzi siinjoy kabisa mpaka mpz wangu amechoka
Kipande chini ya mto kipande jipake chini ya kitovunilale navyo kivipi chini ya mto au? mwongozo tafadhali
Nimependa comment yako,watz wote tungekuwa kama wewe tungeshatoka hapa tulipoKama ni muislam..hakikisha unafanya haya kabla ya kulala
1. Weka udhu kama unaenda kusali
2. Soma suratul nnas,falaq na ikhlas mara Tatu Tatu
3.Soma ayatul qursiy
Utalala usingizi nyororo,sio jini wala sheitwan litakalokugusa usiku.
Kama mkristo,,,ngja tusubiri watumishi Wa bwana watakuelekeza!
Una jini mahaba mkuu tafuta maombezi yalipo uombewe na kiongozi wa dini yakokila siku nagombana na wanaume hakuna mwanaume ninaekaa nae muda mrefu Yan nashikwa na hasira za mara kwa mara nikifanya mapenzi siinjoy kabisa mpaka mpz wangu amechoka
Sawa asanteKipande chini ya mto kipande jipake chini ya kitovu
inshaallahKama ni muislam..hakikisha unafanya haya kabla ya kulala
1. Weka udhu kama unaenda kusali
2. Soma suratul nnas,falaq na ikhlas mara Tatu Tatu
3.Soma ayatul qursiy
Utalala usingizi nyororo,sio jini wala sheitwan litakalokugusa usiku.
Kama mkristo,,,ngja tusubiri watumishi Wa bwana watakuelekeza!
siwazi ngono mkuu nipo busy sana na kaziNi hali ya kawaida tu cyo pepo wala uchawi
Punguza kuwaza ngono kila wakat
siwazi ngono mkuu nipo busy sana na kazi