Nimecheka hadi mbavu zikauma!

Nimecheka hadi mbavu zikauma!

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
14,195
Reaction score
25,957
Jamani leo kuna thread nimesoma nimecheka hadi mbavu zikauma, nikaona niilete huku kwenye jokes na wengine wafaidi.

Katika kujadiri Mawaziri wanaoweza kuongea Kiingereza kwa ufasaha, mwana JF mmoja amesema katika kipindi fulani Mheshimiwa sana kiongozi fulani machachari wa Bunge alitumia neno "the TV lookers" akimaanisha watazamaji wa TV!!!

Ha ha ha ha ha ha ha ha!!!!! Ooooh mama mbavu zangu!!!!

Imagine;

Ze lookers at home looking at zis TV period!

Ha ha ha ha ha ha ha ha !!!!!!
 
Nimekutana na Mkaka kaandika kwenye white tshirt yake ' beat noise' yaani piga kelele hahahahaha
 
Kumbe mswahili kakosea kiinglishi ......................?????????????????sasa tatizo liko wapi?
 
Hiyo ndiyo faida ya elimu ya kuungaunga language barrier still in Tz
 
Back
Top Bottom