Sio kila mwanamke anayechit anafuata ngono, wengine njaa, tamaa na laana za umasikini wao zinawafanya kugongeka nje ya mahusiano yao.
Mwanamke yuko tofauti na mwanaume kwamba achepuke sababu ya ngono,
Mwanaume hisia za ngono ziko muda wote, sometime hatosheki hata apewe wake 10.
Narudia tena mwanamke mpaka anaamua kuchepuka anakuwa kavutiwa na material things za mwanaume fulani ambazo mpenzi/mme wake hana nje ya ngono mfano pesa za mwanaume, umaarufu wa mwanaume.
Mwanamke anayechit kwa sababu ya tamaa za kingono huyo anakuwa kavuka level za malaya wa daraja la chini, na mara nyingi wanawake wenye tamaa ya kimwili pekee ni asilimia(% ) chachee mno na wengi wao ni hawa wanawake wajane, wenye waume wagonjwa ama wake za watu ambao nao waume zao wako bize na kazi, tofauti na hapo usidanganyike eti mwanamke kuchiti sababu ya mme/mpenzi wake hajiwezi kitandan au hana mbwembwe kitandani huo ni Umalaya wanawake hisia zao katika ngono ni ndogo sana kwamba wawe wa kupapalika na vidume nnje ya mahusiano.
Kataa wanawake kausha damu, kataa wanawake wa hovyovyo, kataa mahusiano ya mchongo