Nimechapiwa kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe

Nimechapiwa kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe

Mkuu umesema yote, kuna muda ni bora uonekane tu hujali baadhi ya mambo, wanaume tunapitia mambo mengi mazito. Nashukuru Mungu niliyajua maumivu ya usaliti mapema mno na yaliniyumbisha kwa kiasi fulani ila nilivyokuja kukaa sawa huwa sihangaiki na mtu alieamua kutumia kiungo chake.
Uzi na uishie hapa. Kila mtu atumie viungo vya mwili wake kadri anavyoona inafaa. Akiliwa hujaliwa wewe. Kuna vitu havitakiwi kukuumiza kabisa. Tafuta hela fanya malengo yako. Kula mademu wengi kadri unavyoona inafaa. Kula bata kwa namna nyingine unazopenda. Maisha ni matamu. Anaeliwa na aliwe. Kiungo ni chake.
 
Tuambiane ukweli kua mwanaume inahitaji ujasiri , ukatili na roho mbaya wakati mwingine.

Ukiwa mwanaume hakuna wakat utaambiwa sasa ni wakati wa kutafuta au utatafuta hivi ..


kuzidiwa ni sehem ya maisha mwana wa forster kakuzidi kete usi mind chukulia changamoto push utoke apo ulipo usukume kitu na ww ukachape ya mtu.

Asilimia kubwa ya mahusiano saivi tuna porana tu .. Dem alikua wa yule una mchukua anakua wako swali ni je unavyo vinavyo staili kumtuliza.. maana tamaa kitu hii huwa beba wanawake.

binafsi huona mausiano kama falme kuna nyakati ngome yang itavamiwa na inaweza ikabebwa na mi falme yenye mi guvu ... ila mbinu na strategy za kujilinda zitakufanya ukae mda mrefu ngomeni ..(jijenge kiuchumi kuimarisha ngome yako)

la mwisho pole comrade ... tafuta kambi dhaifu vamia beba ya mtu ukishindwa cheza alliance ila jua unazidiwa kete dharau na nyodo zitakua nying
💪🏻
 
Mkuu umesema yote, kuna muda ni bora uonekane tu hujali baadhi ya mambo, wanaume tunapitia mambo mengi mazito. Nashukuru Mungu niliyajua maumivu ya usaliti mapema mno na yaliniyumbisha kwa kiasi fulani ila nilivyokuja kukaa sawa huwa sihangaiki na mtu alieamua kutumia kiungo chake.
Mkuu umeongea kwa uchungu sana, hebu Lewa useme ukweli
 
Uzi na uishie hapa. Kila mtu atumie viungo vya mwili wake kadri anavyoona inafaa. Akiliwa hujaliwa wewe. Kuna vitu havitakiwi kukuumiza kabisa. Tafuta hela fanya malengo yako. Kula mademu wengi kadri unavyoona inafaa. Kula bata kwa namna nyingine unazopenda. Maisha ni matamu. Anaeliwa na aliwe. Kiungo ni chake.
Point mkuu, wanaume tutafute hela tutimize malengo na kuishi ndoto zetu, mtu mzima hachungwi/halindwi. Kipindi nakua nilikua nashangaa kwanini wanandoa wanaachana na lawama kubwa nilikuwa naona zinaelekezwa upande wa mume kuwa ndio chanzo ila nimekua nimeyaona mnisamehe ilikuwa ni utoto tu. Kuna mzee mmoja anisamehe sana kwa akili zangu za kitoto kipindi hicho nilimuona kama alikuwa anazingua ila kwa sasa namuunga mkono.

Alioa singo maza wa miaka hiyo, akazaa nae watoto 6. Kwenye hao 6 wawili tu ndio wake wengine sura ni mfano wa Mungu kupitia kwa majirani.
 
Aisee pole sana mkuu
Yalishapita mkuu nashukuru yalinipa kitu ambacho kimenisaidia sana kwenye sekta nzima ya mahusiano. Nna upendo sana na kwa kiasi fulani nnajali ila mtu akishanizimia switch ya upendo mi nazima mainswitch kabisa. Nampenda na kumjali mtu mpaka pale atakapoona yeye inatosha kwa kuanza kuleta mapicha picha.
 
Nashindwa hata kujieleza maumivu yake kumbe ndo hivi wanangu mpaka video zao wakiwa kitandani ninazo kwenye simu yangu nashindwa hata kumuangalia kwa hasira huyu mwanamke hata kumuulizia juu ya hili kisa nilishindwa kumlipia kodi mwezi uliopita kupitia hali yangu mbaya kazini.

Niliamua tu kumchunguza baada ya kuona dharau zimezidi kumbe nachapiwa huko nje. Nimeamua kumuacha rasmi bila kumuuliza kitu maisha mengine yaendelee yani kisa tu mwanangu una forester ukapita na pisi yangu fresh.

Asanteni sana [emoji1360]
Vumilia mdogo wangu, ndio ukubwa huo
 
Tuambiane ukweli kua mwanaume inahitaji ujasiri , ukatili na roho mbaya wakati mwingine.

Ukiwa mwanaume hakuna wakat utaambiwa sasa ni wakati wa kutafuta au utatafuta hivi ..


kuzidiwa ni sehem ya maisha mwana wa forster kakuzidi kete usi mind chukulia changamoto push utoke apo ulipo usukume kitu na ww ukachape ya mtu.

Asilimia kubwa ya mahusiano saivi tuna porana tu .. Dem alikua wa yule una mchukua anakua wako swali ni je unavyo vinavyo staili kumtuliza.. maana tamaa kitu hii huwa beba wanawake.

binafsi huona mausiano kama falme kuna nyakati ngome yang itavamiwa na inaweza ikabebwa na mi falme yenye mi guvu ... ila mbinu na strategy za kujilinda zitakufanya ukae mda mrefu ngomeni ..(jijenge kiuchumi kuimarisha ngome yako)

la mwisho pole comrade ... tafuta kambi dhaifu vamia beba ya mtu ukishindwa cheza alliance ila jua unazidiwa kete dharau na nyodo zitakua nying
Wote tuishi nayo hii. Mpaka manzi/mke akusaliti kuna kitu cha ziada anapata huko nje ambacho wewe huna.
 
Mwanamke akianza dharau Kuna kitu, kama una akili usitukane and don't panic, chunguza
 
Mtumie hizo video hlf achana nae......ipo siku zitavuja hlf atalia na kusaga meno.

Wanaume wenye forester nao watu basiiii,......pyee
Hiyo inaitwa kutesa kwa zamu kuwa mpole utapata wa kufanana naye tu na utakula raha muda huo yeye analia kwa kuteswa na penzi kipya
 
Yani angekuwa na hela ndio ingekuwa kinga ya kutochapiwa.? Hapana. Watu wana majumba, magari ya maana na wanachapiwa na watu wa kawaida kabisa wasio na mbele wala nyuma. Suluhisho ni kukataa Kumtegemea mwanamke Kihisia. Pesa atafute kwa ajili ya manufaa yake lakini hata awe nazo kama za MO Dewji sio guarantee ya kutochapiwa.
Unahisi ukiwa na hela wakikuchapia unaumia kama mleta uzi?
 
Back
Top Bottom