Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,590
- 11,379
Forester ni mwanamisitu au
Aseee🤣🤣🤣🤣wait, taratibu mkubwa..... ulikua hujui kutoamba au shida ni nini?
Nashindwa hata kujieleza maumivu yake kumbe ndo hivi wanangu mpaka video zao wakiwa kitandan ninazo kwenye simu yangu nashindwa hata kumuangalia kwa hasira huyu mwanamke hata kumuulizia juu ya hili kisa nilishindwa kumlipia kodi mwezi ulipita kupitia hali yangu mbaya kazini.
Niliamua tu kumchunguza baada ya kuona dharau zimezd kumbe natomb owa huko nje. Nimeamua kumuacha rasmi bila kumuuliza kitu maisha mengine yaendelee yani kisa tu mwanangu una forester ukapita na pisi yangu fresh.
Asanteni sana [emoji1360]
Jamaa ana ukarimu sana, shukuru kakuchapia demu wako tu. Ningekuwa Mimi ndio jamaa ningekuchapa na wewe, na hapo Sina Forester, Nina MARUTINashindwa hata kujieleza maumivu yake kumbe ndo hivi wanangu mpaka video zao wakiwa kitandan ninazo kwenye simu yangu nashindwa hata kumuangalia kwa hasira huyu mwanamke hata kumuulizia juu ya hili kisa nilishindwa kumlipia kodi mwezi ulipita kupitia hali yangu mbaya kazini.
Niliamua tu kumchunguza baada ya kuona dharau zimezd kumbe natomb owa huko nje. Nimeamua kumuacha rasmi bila kumuuliza kitu maisha mengine yaendelee yani kisa tu mwanangu una forester ukapita na pisi yangu fresh.
Asanteni sana [emoji1360]
Si usome uzi kwanini una amua kumuongezea machungu mgonjwa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wait, taratibu mkubwa..... ulikua hujui kutoamba au shida ni nini?
Picha ya bibi yangu umetowa wapi?
Picha ya bibi yangu umetowa wapi?
Na weee nunua forester hhahaha. Joking broNashindwa hata kujieleza maumivu yake kumbe ndo hivi wanangu mpaka video zao wakiwa kitandan ninazo kwenye simu yangu nashindwa hata kumuangalia kwa hasira huyu mwanamke hata kumuulizia juu ya hili kisa nilishindwa kumlipia kodi mwezi ulipita kupitia hali yangu mbaya kazini.
Niliamua tu kumchunguza baada ya kuona dharau zimezd kumbe natomb owa huko nje. Nimeamua kumuacha rasmi bila kumuuliza kitu maisha mengine yaendelee yani kisa tu mwanangu una forester ukapita na pisi yangu fresh.
Asanteni sana [emoji1360]
Ukiyaelewa wala hayatakusumbua kawaida hiyoNashindwa hata kujieleza maumivu yake kumbe ndo hivi wanangu mpaka video zao wakiwa kitandan ninazo kwenye simu yangu nashindwa hata kumuangalia kwa hasira huyu mwanamke hata kumuulizia juu ya hili kisa nilishindwa kumlipia kodi mwezi ulipita kupitia hali yangu mbaya kazini.
Niliamua tu kumchunguza baada ya kuona dharau zimezd kumbe natomb owa huko nje. Nimeamua kumuacha rasmi bila kumuuliza kitu maisha mengine yaendelee yani kisa tu mwanangu una forester ukapita na pisi yangu fresh.
Asanteni sana [emoji1360]
Unafikri amemuacha kwa kumtaliki? Amemwacha kumwulizia alivyotafunwa ili maisha mengine yaendelee!Shida sio huyo jamaa ana Forester,shida ulikua na MWANAMKE MALAYA,hongera kama kweli umemuacha