Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
achana nae makasabraka mkubwa huyo hana shukurani kraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nimeolewa miaka 16 sasa ila issue yako ngumu. Siwezi kukushauri uachane naye maana sikujui na wala sijui mlipoanzia wala uwezo wako.
Sipendi kurupuka ktk kutoa ushauri pia. Ila uelewe palipo na tatizo suluhisho lipo, binafsi sidhani kama ni baba anayefaa hata kidogo. Inabidi ajirekebishe
are you in europe now?
were you?
No Im not,................ and No, I've never been to europe
kumuombea sawa but maandiko yanasema jisaidieni nami nitawasaidia
wewe....wewe...nadhani bado hujakua vzr!
unapozungumzia kutengana na mwenza kwa umri huo ni lazima utajiingiza kwenye mahusano mengine na hii utaifanya kwa sababu utakuwa na uko katika msongo wa mawazo .. swali linakuja ni mahusiano mangapi utaingia baada ya kuvunja ya msingi (ndoa)
kwani kuna ubaya akiingia kwenye uhusiano mwingine kama akiamua?
Nafikiri hakuna ubaya wowote kama akiingia kwenye mahusiano mengine,
nadhani BPM alikuwa anataka kumaanisha kwamba.........je hayo mahusiano mengine ndo itakuwa kama peponi?
hakutakuwa na shida/ugomvi/misukosuko wala nini..........................je ni kweli....?
pole sana dada kwa uvumilivu wa kipindi kirefu huwa siku zote dalili ya mvua ni mawingu but huwa wanawake tunapenda sana kujipa mahope ya uwongo ooh mume wangu atabadilika , hata kabla msichana hajaolewa na anajua huyo mwanaume wake ni kimeo eti anakwambia atabadilika kakudanganya nani samaki hukunjwa angali mbichi wanaume wengi ni ngumu sana kubadilika huwa wanaprittend tu .nisiuze sana chai kazi ni moja una kazi nzuri huyo ndo mume wako wa kwanza (swtheart NO 1)sasa achana naye ameshakutia mikosi huyo lea watoto wako kaa karibu na familia yako coz ndo watu wanaojua thamani yako ndio maana hata wanakuonea huruma NA WANATAKA UTOKE HUKO na degree yako yote unambwelabwela tu tena WACHA USHAMBA TUPA KULE utaenjoy kishenzi no stress watoto ndo faraja yako thus all ,however 32 bado mrembo kabisa hachana na hilo kurundungu lililobebwa likashidwa kushikilia hata mabega. shwaaaaaani zakee