Nimechanganyikiwa, sikujua kama mwisho utakuwa hivi

kwani kuna ubaya akiingia kwenye uhusiano mwingine kama akiamua?

si vyema kwani tayari ana kidonda na maumivu makali kutokana na mahusiano yaliyopita hivyo anaweza kujikuta hadumu na akashindwa kuweka mihimili iliyo sahihi .. anahitaji mapumziko ya kuwa pekee yake lakin kuna mambo mengi anatakiwa kuyafanya kabla hajaamua kuachana rasmi na pia kuanzisha mahusiano mengine.. kuna mawali watu wameuliza lakini nasikitika hajajitokeza kuelezea walau wazini kuchanganua
 
Nafikiri hakuna ubaya wowote kama akiingia kwenye mahusiano mengine,

nadhani BPM alikuwa anataka kumaanisha kwamba.........je hayo mahusiano mengine ndo itakuwa kama peponi?

hakutakuwa na shida/ugomvi/misukosuko wala nini..........................je ni kweli....?

wengi hupenda kuamini kwingine unaweza kuwa peponi lakini wanasahau historia huhukumu kila nukta ....
 
Asipokuwa makini katika kuchekecha shauri zilizotolewa atabaki mdomo wazi
Ruhusu ili sense ya mwanamke ifanye kazi kabla ya kufanya maamuzi yoyote
Najua kuna mashauri mengi yametolewa japo mengi si ya kujenga na kukuelekeza vyema
Unahitaji kuwa makini katika yote.
Mvumilivu hula mbivu.
Chelechelea utakuta mwanan si wako.
Tafakari hizi semi kama si nahau hizi
 
huyo jamaa ni MZINZI...arabuni angepigwa mawe kwa sharia law.katika biblia,imeruhusu ndoa kuvunjwa kwa dhambi ya uzinifu..na umesema umeshamsamehe mara za kutosha.
Chakufanya...tengeneza madai yako ya talaka.jipe moyo mgumu.kutaliki sio kazi rahisi,especialy unapokuwa tayari una watoto wawili kama wewe...ukichelewa yatakupata yawe MAJUTO.
 
pole sana,
ninachoweza kusema ni kwamba kumbuka kuna ukimwi,kama anakuwa na wanawake tofauti tofauti,si vibaya nikisema jiandae kwa gonjwa hilo,
KAMA HAWEZI KUBADILIKA,NI BORA UACHANE NAYE
 
Kama ndoa ni ya Church.....ni jambo moja tuu litakaloruhusu kuachana nalo ni uzinzi basi...kwahiyo kama umewahi kumfumania na unauhakika anafanya uzinzi kwa kanisa inaruhusiwa kuachana lakini bado kanisa lina sisitiza kusamehe saba mara sabini kwa siku...maaana Munga anasema yeye anachukia kuachana...kwahiyo kwa uzinzi ikishindika kusamehe basi mnaachana!!!!
 
Kwanza kwanini uliolewa na darasa la saba? were you so DESPERATE ? EAGER to get married? pale unaposema '' yani siamini kama nitaishi hivi maisha yangu bila mume coz sipendi wala sifurahishwi na maisha ya kuwa single parent at my age of 32,'' siyo kwamba unahisi kuwa huwezi kuendesha maisha yako na watoto wako kutokana na kutokuwa na uwezo ila ni kwamba hufikirii maisha bila mume ndiyo maana ukajitosa kwa unayemwita darasa la saba misheni town...! KINACHONIBOA KWAKO ULIJUA HUYO NI DARASA LA SABA na hana mbele wala nyuma bado ukajitosa kwake, eti kwa sababu tu ulikuwa na shida ya kuolewa, hivi umeshafikiria hao watoto uliozaa naye watakuwaje? intelligent parents have intelligent kids! you were so selfish for this girl, hukufikiria utakao wazaa.this is too shameful! you went that cheep for what?
 
Kwanza kwanini uliolewa na darasa la saba? were you so DESPERATE ? EAGER to get married? pale unaposema '' yani siamini kama nitaishi hivi maisha yangu bila mume coz sipendi wala sifurahishwi na maisha ya kuwa single parent at my age of 32,'' siyo kwamba unahisi kuwa huwezi kuendesha maisha yako na watoto wako kutokana na kutokuwa na uwezo ila ni kwamba hufikirii maisha bila mume ndiyo maana ukajitosa kwa unayemwita darasa la saba misheni town...! KINACHONIBOA KWAKO ULIJUA HUYO NI DARASA LA SABA na hana mbele wala nyuma bado ukajitosa kwake, eti kwa sababu tu ulikuwa na shida ya kuolewa, hivi umeshafikiria hao watoto uliozaa naye watakuwaje? intelligent parents have intelligent kids! you were so selfish for this girl, hukufikiria utakao wazaa.this is too shameful! you went that cheep for what?


Sidhani hayo unayosema ni relevant katika scenario hii. Kila binadamu ni selfish pale anapotaka kitu kiwe chake. In fact kuhusu bibie kuwa tayari kuwa na mtu wenye elimu chini zaidi yake is very commendable. Aliamua kukumbatia mapungufu ya huyo mwenzi mtarajiwa. Naye huyu bwana alikuwa selfish kivyake kwa sababu kama alimpendea rangi yake ya ngozi na hajaridhika naye na anatoka nje kwenda kuhakikisha anamaliza wanawake wote weupe nayo ni hatari. Everybody has aspirations in life. Huyu bibie cannot imagine herself kuishi bila mume. Hiyo haina maana yuko desperate. It is something she never thought of. in actual fact she is going through phases. Suala la elimu lisikuboe kabisa, kunaBinti yake na mtu mkubwa hapa nchini ameolewa na mwanaume mwenye elimu kama hiyo na huyo binti ana PhD. Life was tough at first ila sasa baada ya miaka mingi they are doing just fine. Ninavyozungumza huyo mwanamke ana cheo kikubwa sana serikalini and she is doing just fine. Uzuri wake hakuwa na mume kama huyu. He was responsible and knew how to make things work. Kwa huyu bibie this man is crazy and is a train wreck. Where do you expect the man to be employed with such an education? Amwite mjasiriamali wakati si mjasiriamali? heri mwanaume huyo ni misheni town kuliko angekuwa amekaa na hafanyi lolote and still he was unfaithful. Cut the lady some slack! What if you were in her shoes??
 
kumbuka ahadi ya ndoa uliyotoa pale madhabahuni kanisani na ukumbuke ulikuwa hutoi ahadi hiyo kwa wanadamu ila kwa Mungu! ishi na mumeo kama ulivyoahidi kwani yaweza kuwa ni majaribu na ukiyashinda utavikwa taji!
 
Kwanza kwanini uliolewa na darasa la saba? were you so DESPERATE ? EAGER to get married? pale unaposema '' yani siamini kama nitaishi hivi maisha yangu bila mume coz sipendi wala sifurahishwi na maisha ya kuwa single parent at my age of 32,'' siyo kwamba unahisi kuwa huwezi kuendesha maisha yako na watoto wako kutokana na kutokuwa na uwezo ila ni kwamba hufikirii maisha bila mume ndiyo maana ukajitosa kwa unayemwita darasa la saba misheni town...! KINACHONIBOA KWAKO ULIJUA HUYO NI DARASA LA SABA na hana mbele wala nyuma bado ukajitosa kwake, eti kwa sababu tu ulikuwa na shida ya kuolewa, hivi umeshafikiria hao watoto uliozaa naye watakuwaje? intelligent parents have intelligent kids! you were so selfish for this girl, hukufikiria utakao wazaa.this is too shameful! you went that cheep for what?


hongera kwa kumlaumu na kumwongezea dada wa watu zigo la mawazo
 
Dada pole kwa umri wako miaka 32 akili yako imekomaa,pili huyo mume hakupendi nenda kanisani muachane naye biblia imeruhusu kuachana kama mume au mke ni mzinzi,kwani siku hizi kuna ukimwi je akikuletea?hatuombi, ila kumbuka umesema kipato chako kinatosha kutunza familia kaa pembeni mpe muda kama wa mwaka 1 uone je atajirekebisha?kama ndio mrudie kama la mpotezee lea watoto wako dada ila kuachana sio shughuli ndogo itakugharimu kuna mambo mengi utakutana nayo maswali pia utaulizwa sana na marafiki,ndugu na
Welcome to Facebook - Log In, Sign Up or Learn More
 
Pole sana dada yangu. lakini kukushauri bila kusikia mme wako anasemaje ni sawa na kuhukumu kesi kwa kusikiliza upande mmoja. tafadhani omba msaada kanisani aitwe msikilizwe na kushauriwa kwa usahihi zaidi.
 
Mimi ushahuri wangu ni mugumu kidogo!!Moja achana na huyo jamaa watoto peleka boding mbali na wewe ama uko dar wapeleke Arusha au mwanza!au Uganda,Nairobi na wakati wakuwapeleka usiwahusishe ndugu zako na wala yeye asifahamu wapeke kama unawapeleka kwa nyanyayao then mipango kamilisha wakae bodingi na rudi nyumbani mwambie mimi nawewe basi najipa likizo mwenyewe nikapumzike nyumbani na uhakikishe hati za mali mliyochuma wote unazo usionee huruma ukikumbuka ulikotoka ujue hautafika kokote na mwisho wako ni mauti!kama unona unahitaji ushahuri usisite kunipm!endapo hutaona huu una manufaa kwako au mwanga wowote.
 
Nisingependa kabisa kusema muachane, nashukuru unalikiri hilo...una kitu cha kufanya na tena kitakuwa USHUHUDA tena hapa jf... waeleze wtt wako(a powerful church of all) hali halisi then mlilieni Mungu ktk Jina la YESU KRISTO afanye kitu juu ya mume wako...tumeona mijambazi ikibadilika..
 
me sikushauri uachane naye since mna watoto na wanamhitaji baba yao. bali unahitaji umwonyeshe kwamba u can survive bila yeye. yaani anza kumfungia pazia. ignore kila anachofanya, ishi hapo ndani kama vile yeye hayupo but at the same time mpe respect. usihoji kuingia wala kutoka kwake. piga pamba kali, kula vizuri always tabasamu. akileta biashara za kujaribu kukupiga mpeleke kwenye vyombo vya dola.

komaa na huo ushauri ni mzuri sana dada pole "ukubwa ni dawa"
 
Pole sana dada yangu. Matatizo kama yako yanawapata wengi. Na hii inatokana na kushindwa kusoma alama za nyakati na kuzifanyia kazi mapema kabla ya kuingia kwenye commitment kubwa kama ndoa. Waswahli husema "lisemwalo lipo.. kama halipo linakuja" Wengi nyakati hizi za kwetu wanaingia kwenye ndoa bila kufanya utafiti wa kina wa tabia za wenza hata kama wanaambiwa tabia za wenza wao si za kuridhisha. Wakidanganywa na matumaini kwamba labda watabadilika. Hili na liwe fundisho kwa wale wote wanaotarajia kuingia katika ndoa. Nikirudi kwako wewe dada... Ingawa umeelezea kwa kifupi, lakini inonekana kwamba that marriage will never work... Kwa kua huyo mwenzi wako anaonekana si mtu wa kubadilika, na anaendelea kuwa na wewe kwa sababu za kiuchumi tu!!! Real men do not destroy what they value or like!! Kwa sababu mambo anayoyafanya si ya kujenga bali ni ya kukuharibu wewe na pengine hata watoto wako!! Siku hizi magonjwa ni mengi!!! Kama kweli anakupena wewe na watoto wako angeonesha jitihada za mabadiliko angalau kidogo! I advise you to have absolutely zero tolerance to any physical and emotional abuse! Ndoa si utumwa!!! Mimi ninacho kushauri jaribu kumpa nafasi ya mwsho!!! Na kama ataonesha dalili yoyote ya kutokubadilika... dada.... break up!! You better recognize!!! Ni bora uwe single mother huru... kuliko married mother mtumwa!! Ni bora watoto wako walelewe na single mother kuliko waje kuwa yatima!!! (I think you know what I mean).
 
Kama mimi ningekuwa Ndeo (ahsante Mungu kuniumba mwanamme). Ningeshaondoka siku nyiiiiiiiiiingiiiiii!

We endelea kusubiri atabadilika uone habari yake. Miaka saba hajabadilika unategemea nini? Stuka! Chapa lapa!..........Huyo anajifanya kulia kujirekebisha ili aendelee kukuchuna. Mtu una kazi yako unasubiri nini?

Ungekuwa mdogo wangu ningekuchapa vibao!
 
Pole dd angu. Kusema kweli ww ndio unayemfahamu mmeo.
Kwa maelezo uliyotoa, nionavyo mm huyo mme hakufai atakuua kam si kwa magonjwa atakuua na pressure.
Usipoziba ufa utajenga ukuta. Chukua hatua usilee upuuzi,
Usiogope we bado mno maisha yataendelea.
 
POle sana ndeo. naomba nikupe ushauri through my experience. kwanza kabisa naomba nikuambie kua, hujakosea kuleta tatizo lako hapa, ila kupata muafaka hapa ni ngumu maana kila mmoja anasema lake. naomba nikuambie kua mimi nilikaa kwenye ndoa miaka 5 na hivi sasa nina miaka 13 nje ya ndoa viery happy with my two kids. kwanza nakupa hongera wewe ni mvumilivu sana, maana mimi ex husband wangu hakua na tabia kama hizi, zake zilipungua kidogo lakini sikuweza kuvumilia. Naamini kwenye kupendana na sio kuvumilia ndio maana niliamua kundoka kungali mapema. niliondoka nikiwa 30 na watoto wangu walikua wadogo. sikuongea na mtu yoyote juu ya matatizo yangu, walioyajua waliona kwa macho yao, na nilisema nitaongea kuhusu maisha yangu ya ndo pindi nikiondoka, na ndicho nilichofanya. sikutaka kushauriwa na na mtu maana mwisho wa siku wanaokushauri wanarudi makwao wanakuachia kero na karaha za ndoa uliyonayo. binadamu yoyote hawezi kubadilika, tabia ni kama kilema. hakubadilishwa na alie mzaa wewe utaweza wapi wakati mmekutana ukubwani. naomba upime mema na mabaya ya huyo baba uone wapi kuna uzito ndio ufanye maamuzi. kama mema ndio yenye uzito kaa, ukivumilia valangati, kama mabaya ndio mazito basi ondoka taratibu na watoto wako kaanze maisha upya. umesoma na una kazi nzuri jiamini kama mwanamke jasiri, utaweza maisha mwenyewe, na utaona tofauti yake. hapo ulipo huwezi kuendelea maana huyo baba kajaa tele kwenye kichwa chako muda wa kuwaza kitu kingine huna. anawapenda watoto wake, amewafanyia nini hao watoto au ni kudhalilisha familia yake kwa kupita akikopa mtaani na kulipiwa madeni na mkewe ambayo hata hujui kafanyia nini? bora useme kakopa akalipa school fees tutamuelewa. kuondoka kwenye ndoa sio kitu kidogo inataka ujasiri wa hali ya juu, lakini naamini kwa elimu yako na uwezo wako utaweza, jiamini. All the best...!!!
 
Back
Top Bottom